• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC BATENGA: KUTENDA HAKI NA NIDHAMU NDIO SIRI YA KUWA ASKARI BORA WA JESHI LA AKIBA.

Imewekwa: November 21st, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chunya amewataka wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba Wilaya ya Chunya kutenda haki na kudumisha nidhamu wakati wote ikiwa ni pamoja na utii  nakufuata maelekezo yanayotolewa na viongozi na jamii kwa ujumla ikiwa ni moja ya vigezo vya kuwa askari bora wa jeshi la akiba kwa kufanya hivyo itawasaidia  kupata kipaumbele kwenye fursa mbalimbali za ajira zitanapotolewa

Kauli hiyo ameizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo ya kijeshi kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Matundasi, tarafa ya Kiwanja jana Tarehe 20 Novemba 2024

“Leo hapa kwenye risala imesema mumehitimu mafunzo askari 106 kati ya 240 muliojiandikisha wengine wameshindwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo utoro, niwatake ninyi muliohitimu leo kutenda haki na kudumisha nidhamu muliojifunza wakati wa mafunzo ” alisema Mh. Batenga.

 Mhe. Batenga amemtaka Diwani wa Matundasi Mh. Kimo John Choga pamoja na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama Wilaya ya Chunya kuwatumia askari wa jeshi la akiba waliohitimu mafunzo yao kwenye kazi mbalimbali za ulinzi na usalama kwenye kata, tarafa na Wilaya ili kuendelea usalama wa raia na mali zao huku akiwata sungusungu waingizwe kwenye mafunzo yajayo ya jeshi la akiba ili wafanya kazi kwa weledi “Mahala ambapo jeshi letu halipo, jeshi hili la akiba litumike kufanya kazi, viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama muliopo hapa muwatumie jeshi hili kwenye shughuli mbalimbali za ulinzi na usalama za Wilaya lakini pia askari sungusungu waingizwe kwenye mafunzo yajayo ya jeshi la akiba ili wafanye kazi kwa weledi zaidi

Akisoma risala  kwa mgeni rasmi  mmoja wa wahitimu wa  mafunzo ya jeshi la akiba, ndugu  Benedicto Obino amemuomba Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe. Batenga kuwapa kipaumbele wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba kwenye fursa mbalimbali za ajira kama Jeshi la Kujenga Taifa(JKT), ulinzi na usalama kwenye taasisi za serikali na sizizo za kiserikali.

“Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya tunaomba kupewa kipaumbele kwenye fursa za ajira kama Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ulinzi na usalama kwenye taasisi za serikali kama vile ofisi za Mkuu wa Wilaya, Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Hospitali na taasisi zingine sizizo za kiserikali” amesema Obino.

Vilevile, Obino aliongeza kuwa, changamoto walizokutana nazo wakati wa mafunzo ni pamoja na  mitazamo hasi kwa jamii na kubeza kuwa mafunzo hayo ni kwaaliokosa kazi,  utoro, maradhi na ajali ambapo zimepelekea kati ya askari 240 waliojiandikisha waliohitimu mafunzo ni askari 106.

Naye Diwani wa Kata ya Matundasi, Mhe. Kimo John Choga amewashukuru wadau mbalimbali kwa kuchangia mahitaji muhimu kwa wakufunzi wa mafunzo ya jeshi la akiba pamoja na kumpongeza Katibu Tawala wa Wilaya ya Chunya, Anakleth Michombero kwa usimamizi mzuri wa mafunzo hayo mpaka kufanikisha wahitimu 106 kufuzu mafunzo hayo ya jeshi la akiba.

 Mafunzo hayo ya jeshi la akiba yamehitimishwa  tarehe 20 Novemba 2024  yamedumu kwa muda wa miezi minne tangu yalipoanza Julai 1, 2024 ambapo jumla ya askari 106 wamafanikiwa kuhitimu mafunzo hayo , wanaume wakiwa 89 na wanawake 17.

Wanafunzi waliohitimu mafunzo ya jeshi la akiba wakionesha umahiri wao wa utimamu wa mwili mbele ya mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya ya Chunya, jana wakati wa kuhitimisha mafunzo kwenye viwanja vya shule ya msingi Matundasi iliyopo Kata ya Kiwanja Wilaya ya Chunya, mkoa wa Mbeya.

 Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mh. Mbaraka Alhaj Batenga akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba na kamati ya ulinzi na Usalama na viongozi wengine wakati wa kufunga mafunzo ya jeshi la akiba yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya shule ya msingi Matundasi, Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya. 


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.