• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC BATENGA: CHUNYA KUKUSANYA BILIONI KUMI 2024/2025.

Imewekwa: August 29th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe. Mbaraka Alhaji Batenga amesema kwa mwaka ujao wa fedha 2024/2025 Halmashauri ya wilaya ya Chunya ihakikishe inakusanya Bilioni 10 ili kuendana na kasi ya kuleta maendeleo kwenye Wilaya hiyo.

Batenga ametoa kauli hiyo wakati akitoa salamu za Serikali kwenye Baraza la Madiwani liloketi kujadili na kupitisha hesabu za mwisho wa mwaka wa Fedha 2023/2024 za Halmashauri ya wilaya hiyo mapema Agosti, 27 kwenye ukumbi wa Halmashauri uliopo jingo jipya la utawala

“Mwaka wa fedha 2023/2024 tumevuka lengo la kukusanya mapato kwa asilimia 50, tumekusanya Billion 9, mwaka ujao ni Bilioni 10 tujipange vizuri kukusanya mapato hakuna kurudi nyuma” amesema Batenga.

Aidha Mhe Batenga  ameipongeza Halmashauri kwa kuandaa taarifa nzuri ya hesabu za fedha huku akiwataka watumishi wa Serikali kuhakikisha hoja zote zilizotolewa na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali zote zinajibiwa vizuri ili Halmashauri isivuke mwaka huu wa fedha na viporo vya hoja.

Pia Batenga amewataka viongozi wa Halmashauri kuhakikisha wanalipa likizo na malimbikizo mengine ya watumishi ili kuongeza Morali ya watumishi kufanya kazi kwa bidii jambo litakalopelekea Halmashauri kuendelea kuwatumikia wananchi wa wilaya hii.

Vilevile, Batenga aliwakumbusha watendaji wa Halmashauri kuhakikisha wanafanya maandalizi kwanza ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotaraji kufanyika Novemba mwaka huu huku akiwamkumbusha jukumu linguine la kuwapokea wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na shule ya awali, msingi na sekondari mwakani 2025.

Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wa serikali za mitaa ili kuchagua viongozi wa mitaa na vijiji ambao utafanyika Novemba 27, 2024 na badaye mwaka ujao uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2025 ambapo wananchi watachagua madiwani, wabunge na Rais kuongoza nchi kwa miaka mitano ijayo.

Waheshimiwa Madiwani wakiendelea kupitia kitabu cha hesabu za mwaka wakati wa Mkutano wa baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha hesabu za mwaka 2023/2024 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.