• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC BATENGA ATOA SIKU 10 KUKAMILISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI NKUNG’UNGU.

Imewekwa: January 14th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhe. Mbaraka Alhaj Batenga ametoa siku kumi kwa mkandarasi na kamati ya ujenzi wa shule Sekondari Nkung’ungu kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa na miundombinu ya shule hiyo ili wanafunzi wa kidato cha kwanza waliochaguliwa kujiunga na shule waanze masomo.

Mhe. Batenga ameyasema hayo Januari 14, 2025 wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika tarafa ya Kipembawe iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

“ Natoa siku kumi, na sitoongeza hata siku moja kwa mkandarasi na kamati ya ujenzi kukamilisha ujenzi wa shule ya sekondari Nkung’ungu, nataka muongeze muda wa kufanya kazi ili wanafunzi waanze masomo” amesema Mhe. Batenga.

Aidha, Mhe. Batenga amemtaka mzabuni wa mradi wa ujenzi wa shule ya Sekondari Nkung’ungu kurudisha fedha za usafirishaji wa vifaa vya ujenzi kwakuwa mkataba waliongia shule na mzabuni huyo ulikuwa na kipengele cha usafirishaji na ufikishaji  wa vifaa vya ujenzi kwenye eneo la ujenzi lakini mzabuni ametoa tu vifaa pasipo  hakuvifikisha eneo la ujenzi.

“Namtaka mzabuni wa mradi, arudishe fedha za ufikishaji vifaa vya ujenzi, mkataba ulisomeka kuwa ata fanya ‘supply and delivery’ lakini kazi ya kufikisha vifaa imefanywa na Halmashauri ikishirikiana na kamati ya Ujenzi” amesisitiza Mhe. Batenga.

Vile Vile Mhe. Batenga amemtaka mhandisi wa mradi wa ujenzi kuhakikisha ubora na viwango vinazingatiwa katika ujenzi kama inavyoelekezwa  kwenye mchoro wa usanifu wa ujenzi wa shule hiyo kwakuwa serikali imepelekea pesa ya ujenzi kulingana na gharama zilizooneshwa kwenye mchoro wa ramani.

Naye Mwenyekiti wa Kamati wa Ujenzi wa shule ya Sekondari Nkung’ungu, Mwalimu Erasto Kilasi amemuahidi Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhe. Batenga kuwasimamia kikamilifu  wasambazaji wa  vifaa vya ujenzi na mafundi ujenzi kuharakisha ujenzi wa shule kwa kuzingatia ubora na thamani ya fedha ili shule hiyo ikamilike kwa muda uliopangwa.

Ziara ya Mkuu wa Wilaya ya kukagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari Nkung’ungu  iliambatana na wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Chunya , Kamati ya Ulinzi na Usalama imekagua mradi wenye thamani ya Ths 583,180,028  ambazo ni fedha kutoka serikali kuu.




Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.