• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DAS CHUNYA AZINDUA MIONGOZO YA ELIMU MSINGI NA SEKONDARI

Imewekwa: September 16th, 2022

KATIBU Tawala wa wilaya ya Chunya, Anaklet Michombero amewataka maafisa elimu pamoja na walimu wote kuwa wabunifu katika utekelezaji wa majukumu yao.

Akizungumza katika halfa ya uzinduzi wa miongozo ya usimamizi na uboreshaji wa elimu Msingi na Sekondari iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri, Michombero aliwataka maafisa elimu wilaya kuhakikisha wanakuwa wabunifu na kufanya vitu ambavyo vitaongeza ufaulu katika shule zao.

“Kama watumishi wa idara hii nyeti ya elimu, tunapaswa kuwa wabunifu na akili zetu ziwaze haraka na kwa ufanisi zaidi vitu vipya ambavyo vipo nje ya vile tulivyosomea. Kila mmoja wetu hana budi kujiongeza na kubuni namna mpya ya kuongeza ufanisi na ufaulu,”

“Wakuu wa shule na maafisa elimu tukajitahidi sana tuwe wabunifu tufanye vitu ambavyo wakati mwingine havipo kwenye miongozo yetu ila ilete tija kwenye elimu,” alisema Michombero.

Awali katika hafla hiyo, Afisa Elimu Awali na Msingi wa wilaya, Fred Mhanze alibainisha miongozo mitatu ambayo imezinduliwa kuwa ni mwongozo wa kwanza ni ule ambao umeainisha changamoto katika elimu ya msingi na sekondari.

Mhanze aliutaja mwongozo wa pili ambao unahusu mkakati wa kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji katika ngazi ya elimu ya msingi na huku wa tatu ukiwa ni ule unaouhusu uteuzi wa viongozi wa elimu katika mamlaka za serikali za mitaa na mikoa.

Aidha, Mhanze alisema miongozo yote mitatu ambayo imezinduliwa inaenda kufanya kazi kwenye kila ngazi husika kuhusiana na suala zima la elimu

“Katika ngazi ya halmashauri sio watu wa elimu tu wanaweza kujitegemea, ila idara zote zikitoa huduma stahiki na kwa ufanisi mkubwa utekelezaji wa miongozo hii utakwenda vizuri,” alisema Mhanze.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.