• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUTCU YAUNGA JUHUDI ZA SERIKALI YA TANZANIA

Imewekwa: October 15th, 2024

Meneja uendeshaji wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Tumbaku Chunya (CHUTCU) Ndugu Juma Shinshi amesema wamejipanga kuanza ziara ya siku mbili kuhamasisha wakulima wananchama wa Chama hicho kujiandikisha wao, familia zao pamoja na vijana wanaowasaidia kutekeleza shughuli za kilimo cha Tumbaku ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya huku lengo likiwa ni kuungana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakikisha suala la Uchaguzi linafanikiwa

Akizungmza ofisini kwake mapema leo tarehe 15/10/2024 Shinshi amesema kuanzia Kesho uongozi wa Chama kikuu cha Ushirika watakuwa na ziara ya kuhamasisha wakulima wananchama wake pamoja na wananchi wengine wote wajitokeza kujiandikisha kwenye Daftrai la mkazi la kitongozi ili kujipatia sifa ya kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji kufanyika Novemba 27, 2024 nchini kote

“Sisi Chama Kikuu cha Ushirika cha Tumbaku Chunya (CHUTCU) Tunaungana na Serikali kwenye suala la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo leo tarehe 15/10/2024 wafanyakazi wote wataenda kujiandikisha kwenye vituo vya kujiandikishia kwa kuzingatia maeneo na vitongoji wanavyoishi lakini kuanzia kesho (16/10/2024) tutakuwa na ziara ya siku mbili kuwapitia wakulima wanachama wetu ili kuwahimiza kujiandikisha na baadaye wajitokeze kupiga kura kwa mujibu ya ratiba zinazotolewa” amesema Shinshi

Aidha, Shinshi ameongeza kuwa taasisi nyingine za Serikali na hata taasisi zisizo za serikali zinapaswa kuhakikisha wananchi (watumishi) wao wanajiandikisha lakini wanajitokeza kupiga kura kipindi cha Kupiga kura kitakapofika kwani kwa kufanya hivyo watakuwa wamewatendea haki wafanyakazi wao lakini pia watakuwa wamemuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bi Rehema Sanga, Ndugu Francisco Chidege, Bi. Hilda Shauritanga, Ndugu Abdalah Ndunya pamoja na Bi Elina Kadunda (Baadhi ya watumishi wa CHUTCU) wamesema wanaushukuru uongozi wa CHUTCU kwanza kuwaruhusu kwenda kujiandikisha kila mmoja kwenye kituo chake lakini pia kuwapatia usafiri wa kuwapeleka kwenye vituo hivyo ili kurahisisha zoezi hilo huku wakidai jambo hilo linafaa kuigwa na taasisi nyingine.

Zoezi la uandikisha wapiga kura kwenye Daftari la mkazi la Kitongozi lilianza rasmi tarehe 11/10/2024 na litatamatika tarehe 20/11/2024 hivyo wananchi wanaaswa kutumia vema muda wa siku tano ulio salia na kwa kufanya hivyo watakuwa wametekeleza katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini pia wanakuwa wameitumia vizuri haki yao ya msingi

“Serikali za Mitaa, Sauti ya wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi”


Bwana Francisco Chidege akitia saini kwenye Dfatrai la Mkazi la Kitongoji cha Sinjilili A anakoishi ikiwa ni baada ya kukamilisha kujiandikisha Mapema leo tarehe 15/10/2024 katika kituo cha kuandikishia wapiga kura kilichopo Idara ya Maji

Bi Hilda Shauritanga (Mfanyakazi wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Tumbaku Chunya (CHUTCU) akikamilisha zoezi la kujiandikisha kwenye Kitongoji cha Sinjilili A eneo analoishi 

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.