• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

CHUNYA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI WA MAPATO

Imewekwa: September 1st, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Chunya imevukaa lengo kwa asilimia 6.92 katika ukusanyaji wa mapato kwa mwaka 2022/2023 na kupelekea halmashauri hiyo kushika nafasi ya kwanza kati ya halsmhauri zote saba za  Mkoa wa Mbeya


Hayo yamesemwa leo  Septemba 01/2023 wakati wa Mkutano wa baraza la madiwani kwa  robo ya nne ( 4 ) ambapo baraza hilo limepokea na kujadili taarifa mbalimbali za kamati na kupiti utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.


“Makusanyo ya jumla ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya kuanzia mwezi julai hadi Juni 30/2023 ambayo ni sawa na aslimia 106.92 ambapo makusanyo yaameongezeka kwa asilimia 6.92 ya lengo la makisio ya mwaka” Alisema mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Mhe Bosco Said Mwanginde


Kupitia ongezeko la Ukusanyaji wa Mapato Baraza la Madiwani limeazimia kuwapa motisha wakusanyaji wa mapato na kuitaka Halmashauri  kuongeza juhuddi zaidi katika  ukusanyaji wa Mapato ili  kuiwezesha Halmashauri kuwa na vyanzo vingi zaidi vya mapato  na si kutegemea ushuru pekee.


‘’Tuhakikishe tunaongeza juhudi katika ukusanyaji wamapato ili turudi katika nafasi ya kwanza tufanye vizuri zaidi na kuvuka malengo kwasababu tukikusanya vizuri mapato itasaidia kuongeza utekerezaji wa miradi kupitia vyanzo vyetu vya ndani lakini pia kubaini vyanzo vngine vitakavyosaidia ongezeko la mapato’’ alisema Mhe. Bosco Mwanginde” Aliongeza Mhe Mwanginde


CPA Eliah Chigoji akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ameitaka Halmashuri kuongeza Juhudi zaidi katika ukusanyaji wa mapato hali itakayochangia Halmashauri kuwa na Vyanzo vingi vya mapato   vitakavyochangia Halmashuri kuendelea kuongoza katika ukusanyaji wa mapato


“Niwaombeni tuongeze nguvu ili sasa yale mapato tunayoyakusanya tukazidi kuibua vyanzo vingi vya mapato ili siku za usoni tuwe na vyanzo vingivya mapatao tusitegemee ushuru peke yake”


Katibu tawala wilaya Chunya akimuwakilisha Mkuu wa wilaya ya Chunya amewapongeza madiwani pamoja na watumishi wote wa Halmashauri ya wilaya ya chunya huku akisema mafanikio ya wilaya ya Chunya yanatokana na ushirikiano uliopo kwa viongozi kwa ujumla, hivyo amewataka wajumbe wa kikao hicho kuendeleza ushirikiano huo ili Chunya iendelee kufanya vizuri


Akitoa salamu katika Mkutano wa Baraza la Madiwani Mkuu wa TAKUKURU wilaya ya Chunya Lutufyo Mwambugu amewataka madiwani na  Halmashauri kwa ujumla kuendelea kutengeneza misingi mizuri ya ukusanyaji na usimamizi wa mapato  pia amewaomba Madiwani kuwa sehemu ya Utekelezji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo yao  kwa kushirikiana na wataalam ili kuhakikish miradi hiyo inayotekelezwa ina kuwa ya viwango.


Mkutano wa Baraza la Madiwani kwa robo ya nne (4) uliotakiwa kuketi tarehe 28/7/2023 umefanyika leo septemba mosi, 2023 na kuhudhuriwa na  waheshimiwa Madiwani,  Mwakilishi wa Mkuu  Mkoa , mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya , Katibu wa chama cha Mapinduzi, Wataalamu, Vyombo vy Ulinzi na Usalama, Waandishi wahabari na Wananchi

Wajumbe wa Baraza la Madiwani wilaya ya Chunya wakiwa katika kikao cha Baraza la madiwani kwa robo ya nne ya mwaka 2022/2023

Mhe Ramadhan Shumbi Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya akisoma taarifa ya kamati ya uongozi fedha na mipango (FUM) kwa wajumbe wa kikao cha Baraza la Madiwani kwa robo ya nne ya mwaka 2022/2023

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.