• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI CHUNYA NA MAAZIMIO MBALIMBALI

Imewekwa: August 18th, 2021

baadhi ya viongozi na wataalam wa halmashauri  ya wilaya ya Chunya wamejitokeza na kuzungumza mambo mbalimbali kwenye kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika tarehe 8-8-2021 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya (sapanjo).

Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya ndugu ramadhan shumbi ameeleza kuwa kikao hicho ilikuwa kifanyike tarehe 30-7-2021 ila kutokana na changamoto  mbalimbali kilisogezwa mbele  na kufanyika tarehe leo 18-8-2021

Aidha kaimu mwenyekiti ameeleza kuwa bajeti ya Halmashauri kwa mwaka 2020-2021 ilikuwa ni bilioni 5.2 lakini mpaka kufikia tarehe 30.06.2021 makusanyo yalikuwa ni  bilioni  3.9 sawa na  75.3%

Baraza la maiwani pia liliishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kuiwezesha Chunya katika miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja nakuleta fedha za maendeleo kiasi cha Tsh milioni 750 awamu ya kwanza  kwa mwaka wa fedha 2020/21 na kiasi cha Tsh milioni 720.6 kwa mwaka wa fedha 2021/22 na jingo kwa sasa lipo katika hatua ya upauaji.

Kwa upande mwinge  Kaimu Mwenyekiti amewataka madiwani na Wataalamu  kuendelea kuwa waadilifu,wakweli na wawazi wakati wanatimiza majukumu yao

Aidha kwenye swala la Afya,   baraza hilo la Waheshimiwa Madiwani limehimiza wananchi kuwa na bima ya afya  (Ichf iliyoboreshwa).

Kwa upande wake mwakilishi wa Mkuu wa  Mkoa wa Mbeya ndugu Ramadhan ndiyo mwakibuka amesisitiza ukusanyaji wa mapato,kutangaza fursa za uwekezaji kupitia tovuti ya Halmashauri ,kujibu  hoja zote za Wakaguzi (Ndani NA Nje),waajiriwa wapya kupata stahiki za kiutumishi kwa wakati.

Naye katibu wa Chama cha Mapinduzi  Wilaya ya Chunya nduguCharles Jokely Seleman amewapongeza madiwani waC.C.M  kwa kutekeleza vizuri  ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa mwaka 2020/2021.

Kuhusu utata wa zao la Tumbaku na kampuni ya ununuzi , Ndg Selamani aliwahakikishia waheshimiwa Madiwani kwamba amelichukuwa kama mwakilishi wa chama ngazi ya wilaya na atalifikisha kwa viongozi wake wa juu ili kuona namna ya kumaliza utata huoambao  umekuwa ukijitkeza kila mwaka.

Ndg Selemani(Katibu C.CM Chunya) alimtaka mwakilishi wa Mbunge kumfikishia Mh. Mbunge changamoto hiyo ya wakulima na kampuni ya ununuzi wa Tumbaku ili naye afikishe kwenye ngazi za juu.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.