• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Baraza la madiwani lapokea na kupitisha Taarifa ya Hesabu za Mwisho za Halmashauri.

Imewekwa: October 1st, 2022

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya chunya limeketi jana katika kikao maalumu cha kupitia taarifa ya hesabu za mwisho za halmashauri kwa mwaka wa fedha 2021/2022 uliohitimishwa juni 30 mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa sheria ya fedha za serikali za mitaa  ya mwaka 2019 sura ya 290.

Akiwasilisha taarifa za hesabu za mwisho za halmashauri Mweka hazina wa halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu Rajab Lingoni amesema kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 juni 2022, halmashauri ya wilaya ya chunya imeandaa hesabu zake kwa mujibu wa kanuni kubalifu za utayarishaji wa hesabu, memorandamu ya fedha za serikali za mitaa, sheria za manunuzi wa umma na miongozo mbalimbali inayotolewa na serikali.

Ameongeza kwa kusema sheria ya fedha za serikali za mitaa ya mwaka 2019 sura ya 290 imeelezea majukumu mahususi ya halmashauri ya wilaya ambayo yamejikita katika sehemu nne, moja ni ukusanyaji wa mapato kupitia kodi, leseni, ada na tozo mbalimbali

Aidha kuonyesha matokea ya fedha zilizokusanywa kama zimetumika vizuri kwa kutayarisha hesabu zilizo sahihi, sehemu ya tatu nikutoa huduma bora kwa wananchi na sehemu ya nne ni kuleta amani utulivu na utawala bora.

Mwaka wa fedha 2021/2022 halmashauri imeweza kupokea na kukusanya kiasi cha Bilioni 27.9 sawa na asilimia 98 ya makisio ya bilioni 28.5 kutoka kwenye vyanzo vyake mbalimbali, mapato ya ndani wamekusanya bilioni 5.2 sawa na asilimia 108 ya makisiyo yao,

Matumizi mengineyo halmashauri imeweza kupokea milioni 856.8 sawa na asilimia 58 ya makisio na ruzuku ya miradi ya maendeleo halmashauri imeweza kupokea jumla ya bilioni 9.4 sawa na asilimia 101 ya makisio.

Lingoni amesema kutoka kwenye makusanyo ya ndani halmashauri ya wilaya ya chunya imepeleka kiasi cha shilingi bilioni 1.6 katika miradi mbalimbali ya maeneleo ikiwa ni sawa na asilimia 40.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya chunya Mh. Bosco Mwanginde amewashukuru waheshimiwa madiwani kwa kupokea na kupitisha taarifa za hesabu za mwisho za halmashauri kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ili ziwasilishwe katika Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa fedha za Serikali.

Aidha amewapongeza wataalamu wa halmashauri ya wilaya ya chunya kwa kuweza kuandaa taarifa hizo za hesabu  kwa umakini na ufanisi mkubwa

Sambamba na hayo Mh. Mwanginde amewapongeza madiwani na wataalamu wa halmashauri ya wilaya ya chunya kwa kuzeza kukusanya mapato kwa asilimia 108 na kuvuka lengo.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.