• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Ziara ya Waziri wa Madini Dkt Dotto Biteko Wilayani Chunya

Imewekwa: December 2nd, 2022

Waziri wa Madini Dkt Dotto Biteko amefanya ziara ya kukagua na kutembelea shughuli za ujimbaji  madini ndani ya wilaya ya chunya

Dkt Biteko ametembelea migodi ya Imuma investment Company limited, Frank Mbwilo na mgodi wa Singa Duwila iliyopo kata ya Sangambi wilaya ya chunya, ambapo amewapongeza kwa ujimbaji wa kisasa wanaoufanya

"Nawapongeza kwa sababu mmejaribu kupiga hatua kufanya uchimbaji wa kisasa na kuongeza nguvu kuhama kwenye uchimbaji wa kubahatisha kwenda kwenye uchimbaji wa uhakika".

Dkt Biteko amewahakikishia kuwa serikali inatambua changamoto walizonazo wajimbaji na walisha tuma watu wa Tanesco kwenda kufanya tathimini ya mahitaji ilikuhakikisha wachimbaji wanapata umeme wa uhakika wa kuendesha miradi yao.

Aidha Biteko amewapongeza na kuwataka wachimbaji kuendelea  kuchangia katika shughuli mbalimbali za kijamii.

"Imani yangu ni kwamba mteendelea kurudisha kwa jamii kidogo mnacho kipata ili jamii ijue hii miradi niya kwao" amesema Dkt Biteko

Kwaupande mwingine, Dkt Biteko amesema Serikali kupitia Taasisi ya Jiolojia Tanzania wanasogeza huduma za kimaabara katika mkoa wa kimadini chunya kwa lengo la kuwasaidia wachimbaji kupima sampuli za udongo na miamba.

Naye Mbunge wa jimbo la Lupa Mh. Masache Kasaka ameipongeza serikali ya awamu ya sita Chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayofanya kuhakikisha mazingira ya uchimbaji yanakuwa rafiki kwa wachimbaji wote na kuwawezesha kufanya shughuli zao vizuri zaidi

Pia amempongeza mheshimiwa waziri wa madini kwa kufanya ziara katika wilaya ya chunya na kutembelea miradi ya inayotekelezwa na wazawa.

Vilevile Masache amewataka wachimbaji kubadilika na kuacha uchimbaji wa holelaholea na wakubahatisha kwenda kwenye kuwekeza katika uchimbaji wa mgodi mdogo na kufikia katika hatua ya CIP kama ambavyo wengine wanfanya.

Picha mbalimbali wakati wa Ziara 



Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.