• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

ZIARA YA MKUU WA WILAYA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa: February 27th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mbaraka Alhaji Batenga amewataka wananchi wa wilaya ya Chunya na vitongoji vyake kuhakikisha wanatunza mazingira ili kulinda vyanzo vya maji vinavyopatikani katika maeneo yao

Batenga ameyasema hayo leo tarehe 27/02/2024 alipokuwa anazungumza na wananchi wa Matwiga wakati wa ziara yake yakukagua miradi mbalimbali kikiwepo chanzo cha maji cha Matwiga kwa lengo la kutambua namna ambavyo kitatoa huduma kwa wananchi wa maeneo hayo na kuwataka wananchi kutunza Mazingira

Wakati huo huo Batenga amemtaka meneja RUWASA Wilaya ya Chunya Mhandisi Leon Kavishe ndani ya Wiki moja kutembelea eneo la chanzo ili kuweka mazingira sawa ya utunzaji wa Mazingira ili kuufanya mradi huo unadumu kwa muda mrefu.

“Kama mnavyojua mradi huu sio wa jana kweli au si kweli mradi huu ni wa siku nyingi kwanini siku zote ulikuwa haujakamilika mpaka saizi ndio uweze kukamilika hiyo ni nia ya dhati ya Mh Rais kuhahakisha kwamba anatatua kero ya maji hasa vijijini”

Aidha Mhe Batenga amesema Kutokana na ukubwa wa mradi huo na uwingi wa maji yanayopatikana katika mradi huo inawezekana pia kuanzisha mradi wa kilimo cha umwagiliaji ili kukuza shughuli za kilimo cha umwagiliaji wa maeneo hayo na hatimaye kuongeza uchumia wa mwananchi mmoja mmjoa na hata Taifa kwa Ujumla

Kwa upande wake Diwani wa kata hiyo Mhe Frank E. Malambughi amemuomba mkuu wa Wilaya kukitazama chombo kilichowekwa kusimamia uendeshaji wa huduma hiyo akidai haujitoshelezi ukilinganisha na ukubwa wa mradi

Hata hivyo Meneja wa RUWASA Wilaya ya Chunya amesema kuwa mradi huo umetumia zaidi ya Bilioni mbili ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mtambo wa kusafirishia maji,Jengo la mitambo na huduma nyingine nyingi

Tarura nao hawakubaki nyuma katika kutoa majibu sahihi juu ya hatua waliofikia ya ujenzi wa barabara inayofika katika eneo hilo la mradi ikiwa ni pamoja na ujenzi wa daraja katika eneo hilo ambapo amesema kuwa mradi huo utawekwa kwenye mpango mwaka wa fedha ujao kwani mwaka huu haujaingia katika mpango huo

Ziara ya Mkuu wa wilaya ya inataraji kudumu kwa siku mbili ambapo leo ikiwa ni siku ya kwanza ametembelea miradi mbalimbali ikiwepo mradi wa Maji, ujenzi wa Shule ya Msingi Tulieni, kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia majibu

Kaimu Meneja RUWASA wilaya ya Chunya Mhandisi Leon Kavishe akifafanua jambo mbele ya Mkuu wa wilaya ya Chunya aliambata na kamati ya Ulinzi na usalama kukagua miradi Mbalimbali inayotekelezwa wilayani Chunya

Baadhi ya Mitambo iliyofungwa katika mradi wa maji Matwiga

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Batenga (Aliyetangulia Mbela) akiongoza Msafara wa kamati ya usalama wilaya ya Chunya kukagua miradi ya Maendeleo (Pichani wakikagua mradi wa Maji Matwiga)

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.