• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

ZIARA YA KAMATI YA USALAMA CHUNYA YAIBUA MAFUNZO KWA MAFUNDI WAZAWA

Imewekwa: December 12th, 2024

Mkuu wa wiaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaji Batenga ameiongoza Kamati ya Usalama wilaya kwenye ziara ya siku mbili ambapo pamoja na mambo mengine ameagiza kufanyika kwa Mafunzo Elekezi kuhusu Mfumo wa manunuzi serikalini NeST kwa Mafundi wazawa pamoja na wafanyabiashara wanaopatikana kwenye maeneo inakotekelezwa miradi ili kurahisisha utekelezaji wa miradi ya Serikali katika maeneo yao

Ametoa kauli hiyo wakati wa akihitimisha ukaguzi wa miradi dakika chache baada ya kukagua ujenzi wa Mabweni ya wasichana na wavulana katika Shule ya Sekondari Sangambi ambapo amesema moja ya Changamoto inayochelewesha miradi yetu ni kutumia mafundi wanaotoka nje ya eneo ambapo mradi unatekelezwa

“Ujio wa Mfumo wa NeST umefanya Mafundi wale wale tuliokuwa tunawatumia awali kabla ya mfumo leo kubaki kama Wapenzi watazamaji na sababu ni kutokuwepo kwenye Mfumo hivyo nimetoa maagizo Mafundi wote wapewe Mafunzo na wasaidiwe kujisajili kwenye mfumo huo ili waweze kuomba na kutekeleza kazi Mbalimbali za ujenzi wa Miradi  ya Serikali kwenye maeneo yao wanayoishi” Amesema Mhe Batenga

Aidha Mhe Batenga amesema kwasasa Chunya ni tulivu na salama huku akiwapongeza wananchunya kushiriki kwenye zoezi zima la uchaguzi wa serikali za mitaa ambalo limepita salama na tayari viongozi wamepewa majukumu yao na wameoneshwa miradi inayotekelezwa kwenye maeneo yao tayari kusimamia miradi hiyo

Pia Mhe. Batenga amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kutoa Fedha nyingi wilaya  ya Chunya ambapo kwa ziara hii tu miradi yenye thamani ya Shilingi bilioni moja na milioni mia nne imekaguliwa na hiyo inshara kwamba tuna miradi mingi sana inatekelezwa

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu Cuthberth Mwinuka amesema Maelekezo ya Mkuu wa wilaya ya Chunya yamepokelewa na yatatekelezwa kuanzia tarehe 17/12/2024 kwa kuanza kutoa  mafunzo na maelekezo kwa Mafundi  wazawa  juu ya mfumo wa manunuzi pamoja na wafanya biashara ili kurahisisha utekelezaji wa miradi inayoendelea kutekelezwa ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya

Kamati ya   usalama wilaya ya Chunya imehitimisha ziara yake ya siku mbili iliyoanza tarehe 10/12/2024 na imehitimishwa tarehe 11/12/2024 na miradi yenye thamani ya Zaidi ya milioni moja na milioni mia nne imekaguliwa pamoja na kuonya, kuhimiza na kuhakikisha usimimizi unaongezeka ili miradi iwe bora na yenye kuakisi kiasi cha fedha zilizotolewa na Serikali

Ujenzi wa Daharia ya Wasichana Shule ya Sekondari Isenyela ni moja kati ya Miradi ilitotembelea na kamati ya usalama wilaya ya Chunya na imekuta mradi unaendelea kutekelezwa huku kamati ikishauri nguvu na ushirikishwaji wa wadau wa maendeleo kuongezeka sana

Kamati ya Usalama ikikagua ujenzi wa Miundombinu ya Bweni la wanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari Makongolosi Chunya inayotaraji kupokea wanafunzi Mwezi Julai 2025

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.