• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WATUMISHI CHUNYA WAPEWA ELIMU YA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO KWA VITENDO.

Imewekwa: January 31st, 2024

Watumishi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya wamepewa elimu ya namna ya kukabiliana na majanga ya moto ambayo yanaweza kutokea na kusababisha upotevu na uharibifu wa mali wakati mwingine kusababisha hata vifo pindi janga la moto linapotokea na kushindwa kudhibitiwa kwa haraka

Elimu ya kukabiliana na majanga ya moto imetolewa  vitendo na kampuni ya Saragana interprises huku ikienda sambamba na kufunga vizimamoto (fire extinguisher) katika maeneo mbalimbali ya jengo la Utawala

Fundi kutoka kampuni ya Saragana ndugu Salehe Daniel ametoa mafunzo kwa watumihi juu ya namana ya kutumia kizima moto (fire extinguisher) pindi janga la moto linapotokea na kuweza kukabiliana nao ili usiweze kuleta majanga makubwa Zaidi

Salehe amesema kuwa lengo kubwa la kutoa elimu ya namna ya kukabiliana na majanga ya moto katika taasisi mbalimbali ni kuwawezesha wananchi kujua namna ya kujikinga na kukabiliana na majanga ya moto yanapotokea.

“Wananchi wengi hawana elimu ya namna ya kujikinga nakukabiliana na majanga ya moto hivyo kampuni yetu imekuwa ikitoa elimu ya jinsi kuzia majanga ya moto yasitokee lakini pia njinsi ya kukabiliana na janga la moto pindi linapotokea ili lisiweze kusababisha madhara makubwa Zaidi". Alisema Salehe.

Aidha Salehe amewaasa watumishi kuhakikisha wanakuwa na kizima moto (fire extinguisher) majumbani mwao lakini pia kwenye magari   ili kuweza kukabiliana na janga la moto linapotokea wakati wanaposubiri Jeshi la zimamoto na uokoaji kufika eleo la tukioa hali inayoweza kuzuia au kupunguza uharibifu ambao ungeweza kutokea

 Pius Ambros, Salma Nyangwa na Enock Mbala wakiwawakilisha watumishi wengine katika zoezi la kuzima moto wamemshukuru Mkurugenzi Mtendaji ndugu Tamim Kambona kwa kuleta kampini ya Saragani enterprises kuja kuwapa elimu ya jinsi ya kupambana na majanga ya moto ambapo wameweza kujifunza namna ya kutumia kizimamoto na jinsi ya kuzima moto kwa vitendo unapokuwa umetokea.

Salehe Dabniel Fundi kutokakampuni ya Saragana Interprises akiwasha moto kwaajili ya kuwawezesha watumishi kuzima kwa  vitendo kwa kutumia kizima moto ( fire extinguisher) kama ambavyo wamepewa elimu hiyo

ya jinsi ya kukabiliana na majanga ya moto

Ndugu Salehe Daniel Kutoka kampuni ya Saragana Interprises akimwelekeza bi Salma Nyangwa kwa niaba ya watumishi wengine waliokuwepo  namna ya kuzima moto kwa kutumia kizima moto ( fire extinguisher) baada ya kupata mafunzo ya jinsi ya kutumia kizima moto hicho.

Ndugu Enock Mbala miongoni mwa watumishi waliopewa mafunzo ya namna ya kukabiliana na majanga ya moto akizima moto  baada ya kupatiwa mafunzo ya namna ya kuzima moto kwa kutumia kizima moto ili kuhakikisha moto wote unazimika kabisa  na kuacha mazingira katika hali ya usalama.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.