• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Wataalamu Kipembawe wapatiwa mafunzo ya Mfumo wa fursa na vikwazo kwa maendeleo Ulioboreshwa

Imewekwa: September 28th, 2023

Watendaji wa kata, vijiji na maafisa Ugani kutoka tarafa ya kipembawe wilayani Chunya wamepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo juu ya Mfumo wa fursa na vikwazo kwa maendeleo ulioboreshwa.


Mafunzo hayo yamefanyika kwa siku mbili kuanzia jana tarehe September 27, 2023 kwa kata za Lupa, Upendo, Mamba, Lualaje, Nkung’ungu, Matwiga, Mtanila, na leo tarehe 28/09 28, 2023 mafunzo yameendelea  kwa kata zaMafyeko na Kambikatoto.


Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo AfisaMipango wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu Nebert Gavu amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo wataalamu ngazi ya kata ili kuhakikisha wanaenda kuwaelimisha wananchi juu ya mfumo wa fursa na vikwazo kwa maendeleo ulioboreshwa.


“Tukitoka hapa tunatarajia kila kijiji kitakuwa na wawezeshaji jamii na mipango tutaipata kwa wakati, tunatarajia baada ya hapa mnaenda kuanza uwezeshaji kwenye vitongoji kule chini ili wananchi waweze kuuelewa huo Mfumo” alisema ndugu Nebert Gavu.


Gavu aliongeza kusema kuwa mafunzo haya yatawawezesha wataalamu wa ngazi ya kata kuwana ufahamu wa kina juu ya hali ya maendeleo katika maeneo yao na kuwa na uwezo wa kubuni mikakati inayowza kuleta maendeleo mtu mmoja mmoja na baadaye jamii na Taifa kwa ujumla.


Katika Mafunzo hayo wataalamu hao wamesisitizwa kushirikisha jamii katika kila hatua ya maendeleo ikiwa uibuaji na utekelezaji wa vipaumbele vya jitihada za jamii


Mfumo wa fursa na vikwazo kwa maendeleo ulioboreshwa unamtaka mwananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo ikiwemo kupanga mipango kulingana na mahitaji halisi, uwezo wa kitaasisi, na rasilimali walizonazo, aidha uibuaji wa miradi ya vipaumbele, kuweka jitihada zao kwenye miradi hiyo.


Mafunzo hayo yamewezeshwa na wawezeshaji Tisa, Ndugu Nebert Gavu, Bi Adeline Cosmas, Ndugu Nicholous Chambala, Ndugu Mjanaheri Swalehe, Ndugu David Ngowo, Ndugu Paul Lugodisha, Ndugu Pius Ambros, ndugu Fredy Mwangalaba, ndugu Christian Silomba wote kutoka Halmashauri ya wilaya ya Chunya na Mafunzo hayo yanataraji kuendelea kwa wataalamu kutoka Tarafa ya Kiwanja

Afisa mipango Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu Nebart Gavu akiendelea kutoa maelekezo kwa washiriki katika semina ya wataalamu Ngazi ya kata na vijiji katika Tarafa ya Kipembawe

Bi Adelin Cosmas (Mwenye fulana Nyekundu) akiongozo mjadala wakati wa mafunzo kwa wataalamu wa vijiji na kata wakati wa mafunzo katika tarafa ya kipembawe

Washiriki wa Mafunzo wakiendelea kufuatilia kwa makini maelekezo kutoka kwa wawezeshaji wakati wa mafunzo hayo katika Tarafa ya Kipembawe

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.