• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WASIMAMIZI WAZOEFU TARAFA YA KIPEMBAWE WAONYWA UCHAGUZI MKUU CHUNYA

Imewekwa: October 26th, 2025

Msimamizi msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Lupa, Chunya Ndugu Cutherth George Mwinuka amewaonya wasimamizi wa Uchaguzi ngazi za vituo kutotumia Uzoefu wao katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025 bali wazingatie Sheria Kanuni na Utaratibu pamoja na maelekezo yanayotolewa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa uhuru, haki na amani

Ametoa kauli hiyo mapema leo 26.10.2025 wakati akifungua mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi za vituo walioteuliwa na tume, mafunzo yanayofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Lupa.


“Naomba kuwaonya wasimamizi wazoefu ambao wamesimamia uchaguzi mara nyingi kwani kuna mambo mengi yamebadirika hivyo zingatieni Mafunzo kama mtakavyoelekezwa lakini pia pitia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheria ya Uchaguzi yam waka 2024, miongozo na Maelekezo kadiri yatakavyotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi”

Aidha Mwinuka amewataka wasimamizi wa vituo wote pamoja na watumishi wengine kwa mujibu wa miongozo ya tume huru ya Taifa ya Uchaguzi watakaokuwepo eneo la kituo cha kupiga kura wazingatie weledi na nadhifu wa mavazi wakati wa zoezi kwa ujumla


Akihitimisha hotuba yake Ndugu Mwinuka amewakumbusha washiriki wa Mafunzo wote kuachana na matumizi ya simu janja siyohitajika na Tume kwa ujumla kwani matumizi ya simu yanaweza kukusababishia ubize usio na maana wakati wa zoezi au kuitumia simu janja hiyo inaweza kutumika kinyume cha maelekezo ya tume

Semina kwa wasimamizi na watendaji wa vituo katika Jimbo la Lupa imeanza jana kwa makarani waongozaji, huku leo tarehe 26.10.2025 ikiwa ni semina kwa wasimamizi wa vituo pamoja na wasimamizi wa wasaidiizi na semina itakayodumu kwa siku mbili lengo likiwa ni Uchaguzi huru na wa haki

Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Lupa Bwana Cuthberth Mwinuka akizungumza na wasimamizi wa vitu wakati wa ufunguzi wa Mafunzo hayo mapema leo 26.10.2025 katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Lupa

Washiriki wa Mafunzo wakisikiliza kwa makini Hotuba ya ufunguzi wa Mafunzo Mapema leo, Mafunzo yanayofanyika kwa siku mbili

Baadhi ya washiriki wa Mafunzo katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya Sekondari Lupa wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo hayo

Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MHE MASACHE AUNGANA NA VIONGOZI WA DINI NA SERIKALI KUSISITIZA UWEPO WA AMANI.

    December 04, 2025
  • WATALAM NA MADIWANI WAASWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    December 02, 2025
  • CHUNYA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO VVU

    December 01, 2025
  • HAKIKISHENI MASHAMBA YOTE YA SHULE YANALIMWA MSIMU HUU WA MVUA.

    November 27, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.