• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA VITUO WAASWA KUWA NA LUGHA NZURI.

Imewekwa: October 27th, 2025

 

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Lupa wakili Athumani Bamba amewataka wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya  vituo kuwa na lugha nzuri kwa wateja wao ambao ni wapiga kura  ikiwa ni pamoja na kuwachukulia madhaifu yao lakini pia , kuwaelekeza  lugha nzuri  pasipo kutumia matusi au maneno yasio faa  kwa wapiga kura.

Kauli hiyo ameisema leo tarehe 27/10/2025 wakati akifunga mafunzo  ya siku mbili kwa wasimamizi  na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi  ngazi ya vituo yaliyofanyika katika ukumbi wa Omary City Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Tukawe na lugha nzuri kwa wateja wetu ambao ni wapiga kura  sisi hapa ni watumishi wa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi na wapiga kura ndio wateja wetu,kwahiyo tunapaswa kuwa vizuri kwa wateja  mtu anaweza kuja na chngamoto zake lakini wewe mueleweshe mtu  aelewe  ili waweze kupiga kura sawa sawa  na kutoka pasipo kuwa natatizo lolote” amesema Wakili Bamba

Aidha Wakili Bamba ameendele kuwakumbusha wasimamizi wa na wasimamizi wasaidizi wa vituo kuyafanyia kazi na kuyazingatia yale yote waliyoelekwezwa tangu walipoanza mafunzo hayo ikiwa ni pamoja na kulindana kuthamini kiapo walichaapa  na kutojihusisha na mambo ya Vyama ili waweze kufanya kazi yao kwa ufanisi .

Naye Afisa uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Ridhiwani Mshigati amewakumbusha wasimamizi na wasimamizi wasaidizi  wa uchaguzi ngazi ya vituo kutokufanya yale yote ambayo hawapaswi kuyafanya ikiwa ni pamoja na matumizi ya simu, lugha za matusi , kuchelewa kufika katika kituo ambacho msimamizi amepangiwa na mambo mengine mengi na kuvaa  mavazi yenye staha.

Wakizungumza kwa niaba ya wasimamizi wengine  Maria Mwanijembe , Alex John wamesema kuwa mafunzo waliyoyapata yatawasaidia kufanya kazi yao kwa ufasaha na kuhakikisha zoezi la upigaji kura linafanyika kwa kuzingatia maelekezo ya tume kama ambavyo wamefundishwa.

 Mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya vituo yamedumu kwa muda wa siku mbili tarehe 26 na 27 Octoba 2025 ambapo mambo mbalimbali yamefundishwa ikiwa ni pamoja na namna ya kujaza fomu mbalimbali  za Uchaguzi pamoja , kujaza mikataba na mbambo mengine mengi kwaajili ya uchaguzi mkuu tarehe 29 Oktoba 2025

.

Maimamizi wa uchaguzi jimbo la Lupa wakili Athuman Bamba akitoa  msisitizo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi ngazi ya vituo wakati wa kufunga mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi katika Ukumbi wa omary city.

Afisa uchguzi halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Ridhiwani Mshigati  akiwakumbusha wasimamizi na wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya vituo kutokufanya yale yote ambayo hawapaswi kufanya katika vituo.

wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya vituo wakiendelea kufuatilia maelekezo yanayotolewa na wakufunzi katika ukumbi wa Omary City Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA VITUO WAASWA KUWA NA LUGHA NZURI.

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WAZOEFU TARAFA YA KIPEMBAWE WAONYWA UCHAGUZI MKUU CHUNYA

    October 26, 2025
  • DC BATENGA AHIMIZA TIJA KILIMO CHA TUMBAKU KWA VYAMA VYA MSINGI CHUNYA.

    October 17, 2025
  • VIJANA WAIHESHIMISHA CHUNYA KUPITIA MKOPO WA ASILIMIA 10

    October 07, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.