• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Washerehekea siku ya Wauguzi kwa kutoa misaada

Imewekwa: May 13th, 2022

Wauguzi na wakunga hospitali ya wilaya ya Chunya wameadhimisha siku yao kwa kuwapatia wagonjwa zawadi mbalimbali.

Maadhimisho ya siku ya Wauguzi na wakunga duniani hufanyika kila inapofika Mei 12 kila mwaka ambapo kaulimbiu ya mwaka huu ilikuwa, “Wauguzi ni sauti inayo ongoza, wekeza kwenye uuguzi na heshimu haki na kulinda afya kwa wote."

Akizungumza wakati wa kuwapatia zawadi wagonjwa, Afisa Muuguzi katika hospitali ya wilaya, Dkt. Osman Simbeye amesema, wanayo furaha kuadhimisha siku hii na kumkumbuka mwanzilishi wa siku ya wauguzi duniani Mama Florence Nightingale.

“Ni siku yetu ya furaha kwa kuhudumia wagonjwa ndio maana mnaona tunapita kwenye wodi humu kuwaona na kuwapa zawadi." Alisema Simbeye.

Aidha alitumia fursa hiyo kuwaasa wauguzi wote kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wagongwa wote wanaokuja kupata huduma katika hospitali hiyo ya wilaya.

“Niwaombe sana wauguzi wenzangu tuhakikishe tunatoa huduma bora na stahiki kwa kila mgongwa anayefika hapa hospitalini,” alisema simbeye.

Naye Kaimu Muuguzi Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Dkt. Issa Mbande amesema, wao kama Halmashauri wameamua kufanya maadhimisho hayo kwa kuwapatia zawadi wagonjwa waliopo wodini.

"Tumefanya hivi kwa ajili ya kuonesha upendo kwa wagonjwa wetu na kumuenzi Mama Florence Nightingale mwanzilishi wa siku hii muhimu kwa wauguzi.

“Sisi kawa Wauguzi tunayo furaha kuadhimisha siku hii muhimu na kuwaahidi kuendelea kutoa huduma bora kwa wagonjwa wetu." Alisema Dkt. Mbande




Wauguzi wa hospitali ya wilaya ya chunya wakiwa katika picha ya pamoja siku ya maadhimisho ya siku ya wauguzi yaliyofanyika katika hospitali ya wilaya

Katibu wa Afya halmashauri ya wilaya ya chunya Bi Chrispina Kasikiwe akimpatia zawadi moja ya mgonjwa wodini ikiwa ni maadhimisho ya siku ya Wauguzi Duniani


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.