• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WALIMU WAASWA KUWA WAZALENDO

Imewekwa: January 29th, 2018

Chunya
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa walimu Taifa Oliver Mhaiki amewata walimu wilayani hapa kuwa wazalendo,kwa kutenda matendo yaliyo mema kwenye jamii inayowazunguka  na wanafunzi wanaowafundisha ili kuendana na dhana ya Ualimu.

Mhaiki aliyasema  haya wakati akizungumza na wakuu wa Shule za Msingi na Sekondari pamoja na waratibu Elimu kata, katika ziara yake ya  kutembelea walimu mkoani Mbeya ambayo ameinzia katika  Halmshauri ya  wilaya Chunya ikiwa na lengo la kukumbusha  majukumu ya walimu pamoja na waajiri ili kuhakikisha adhma ya Serikali ya kuanzisha Chombo hicho inatimia na Elimu bora inatolewa kwa wakati na ufanishi  kwa watoto.

Alisema Tume ya utumishi wa walimu kama chombo kinachotambulika kitaifa kilianzishwa kwa nia ya kuwasaidia walimu,  hii ni kutokana na wingi walionao ambapo asilimia 60 ya wafanyakazi wote nchini ni walimu.

Aidha aliwasihi walimu kuhakikisha wanawajibika kwa nafasi zao na mwajiri kuhakikisha Walimu wanatoa huduma kwa ufanisi, weledi na kwa wakati  ili  Elimu bora  iendelee kutolewa kwa watoto  kwa maendeleo ya Taifa letu.

 Aidha alisisitiza suala la kujituma na  ushirikiano  kati ya Walimu na waajiri  pamoja na mamlaka  za  nidhamu ili kuhakikisha huduma zinatolewa kwa unyenyevu ili kuinua kiwango cha Elimu nchini.

Aidha ofisa Elimu mkoa Paulina Ndigeza  akizungumza katika kikao hicho aliwapongeza walimu kwa kufanya kazi nzuri ya kufundisha licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbali ikiwemo uchache wa walimu ambayo alidai inaendelea kufanyiwa kazi kwani si muda mrefu Serikali itaajiri walimu wapya.


                                                                           
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu Taifa Oliver Mhaiki akizungumza na walimu wilayani Chunya kuhusu Maadili ya Utumishi bora.


                                                                           

                                                                     Afisa Elimu Mkoa Bi. Paulina Ndigeza akizungumza na Walimu wilayani Chunya.


                                                                           

Baadhi ya walimu wakiwa wametulia wakimfuatilia kwa makini Mwenyekiti wa tume ya utumishi wa walimu wakati akiwakumbusha maadili ya utumishi wa umma


                                                                           

                              Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Bosco Mwanginde akiwasihi  walimu kuzingatia mambo yote walioelekezwa.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.