• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Wakuu wa Idara, Watendaji Chunya wapatiwa mafunzo

Imewekwa: February 28th, 2022

WAKUUwa Idara, vitengo, pamoja na Watendaji wa Kata na Vijiji wa Halmashauri yaWilaya ya Chunya wamepatiwa mafunzo ya kuimarisha Utawala bora naUshirikishwaji wa Wananchi.

Mafunzohayo yametolewa na Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikaliza Mitaa (TAMISEMI) kwa kushirikiana na mradi wa uimarishaji mifumo ya sekta zaUmma ujulikanao kama PublicSector Systems Strengthening, (PS3+) katika ukumbi wa mikutanowa Halmashauri.

Akizinduasemina hiyo Bw, Nazar Sola ambaye ni Mtaalamu wa kamati ya Mkoa mamlaka yaserkali za Mitaa, alisema lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha Wakuu wa Idara,Vitengo pamoja na Watendaji wa Kata na Vijiji kuweza kuratibu shughulizinazohusu ushirikishwaji wa wananchi katika masuala mbalimbali ya utawalabora, mipango na bajeti katika ngazi mbalimbali, hivyo kupitia mafunzo hayoyatawajengea uwezo watumishi wa ngazi zote kufanya kazi zao vizuri kwa mujibuwa sheria na taratibu zilizowekwa na Serikali. 

Aidha,amesisitiza juu ya matumizi ya tovuti na vyombo vingine vya mawasilianovinavyopatikana katika Hamashauri ya Chunya vitumike ipasavyo katikakuhabarisha umma juu ya matukio na masuala mbalimbali ya kiuchumi, kijamii nakisiasa.

Watendaji wa Kata na Vijiji wakiwa kwenye Semina ya Kuimaisha Utawala bora na Ushirikishwashi wa Wananchi.

Bw. Nazar Sola Mtaalamu wa kamati ya Mkoa mamlaka ya serkali za Mitaa Akitoa Semina kwa Wakuu wa Idara, Vitengo na Watendaji wa Kata na Vijiji

Wakuu wa Idara Pamoja na Watendaji Wakiwa kwenye Semina ya Kuimarisha Utawala bora na Ushirikishwaji wa Wananchi

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.