• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

VIKUNDI VYA VIJANA WILAYANI CHUNYA VYANUFAIKA NA MKOPO WA 10%.

Imewekwa: January 25th, 2023

MWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Said Mwanginde amewataka vijana wilayani chunya kukopa fedha zinazotengwa kutoka kwenye mapato ya ndani ili kurahisisha shughuli zao za kujikwamua kiuchumi kwani fedha zipo huku akisema jambo muhimu ni kutimiza vigezo

 Mhe, Mwanginde amesema hayo leo wakati akikabidhi basi Moja (1) kwa kikundi cha Champions group kutoka kata ya Chokaa ambalo limenunuliwa kutokana na fedha za asilimia kumi (10) zinazotengwa na halmashauri kwaajili ya Vijana, Wanawake na watu wenye ulemavu

“Vijana hii gari ni yakwenu mamlaka yote yapo chini yenu sisi kama halmashauri kazi yetu ni kusimamia marejesho mnapopata kiasi cha fedha mrejeshe ili tufanye utaratibu wa kukopesha vikundi vingine” amesema Mwanginde

Viongozi wa vikundi vya vijana kutoka kata hizo wameeleza namna walivyopokea mabasi hayo huku wakiishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hasaan kwa mikopo hiyo na kuwahimiza vijana wenzao kuunda vikundi ili waweze kukopesheka

Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii wilayani Chunya Bi. Ester Kondobole ametoa ufafanuzi wa kina kuhusu mikopo ya fedha zinazotengwa kutoka makusanyo ya ndani huku akisema milioni 50 zilizotengwa kwaajili ya makundi ya watu wenye ulemevu zipo kwakuwa hakuna kikundi chochote kilicholeta maombi ya kukopeshwa fedha

“Kuna fedha miloni 50 ambazo zilitengwa kwa ajili ya watu wenye ulemavu zipo na bado hazijatolewa kwani hakuna kikundi chochote kilicho leta maombi” amesema Bi. Ester Kondobole

Bi. Kondobole amefafanua Zaidi kuwa vikundi vya wanawake wilayani humo vimefaidika pia na mikopo hiyo ya asilimia kumi (10) za mapato ya ndani kwa kukopeshwa milioni hamsini na tano (55)

Serikali imekuwa ikizitaka halmashauri kutenga asilimia kumi za mapato ya ndani kwaajili ya kuwakopesha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi na hatimaye kuboresha maisha yao wenyewe na familia zao

Makabidhiano hayo leo ilikuwa ni kuhitimisha zoezi lililoanza mapema mwezi January 2023 ambapo basi moja lilipokelewa na halmashauri kwa ajili ya kikundi cha Winners group kutoka kata ya Itewe.


Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde wakwanza kushoto akimkabizi kadi ya gari kwa mwenyekiti wa kikundi cha Champions group Ndg Denis Mwalukuga ambaye aliongozana na Mtunza hazina wa kikundi hicho Bi. Hadija Ngemelo

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.