• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

UZEMBE SIO SEHEMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA

Imewekwa: January 5th, 2025

Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Chunya kupitia kwa mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (FUM) Mhe Bosco Mwanginde ametangaza kiama kwa Watumishi wasimamizi wazembe wa Miradi na Mafundi wazembe katika utekelezaji na usimamizi wa miradi jambo ambalo linapunguza ubora na kasi ya utekelezaji wa miradi hivyo kuleta mashaka kwa wananchi na Serikali yao

Akizungmza wakati akijumuisha lengo la ziara ya kamati hiyo iliyofanyika siku mbili tarehe 3/1/2025 na 4/1/2025 amesema Baraza la Madiwani halitavumilia kuona miradi inasimamiwa vibaya na Mafundi hawatunzi na kutumia vizuri vifaa vya ujenzi

“Kamati imebaini usimamizi mbaya kwenye ujenzi wa vyoo katika Shule ya Msingi Isangawana hivyo imeagiza Shimo libomolewe na lianze kujengwa upya huku Kamati ikiagiza Jengo la vyoo hivyo lipigwe upya plasta Chini ya Gharama na usimamizi wa Mhandisi maana yeye ndiye aliyesababisha ujenzi huo kuwa chini ya viwango hivyo kamati imeagiza atatoa gharama za marekebisho hayo ndani ya wiki tatu” Alisema Mhe Mwanginde

Aidha, Kamati hiyo imepongeza utekeleaji wa mradi wa ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari ya kata Nkung’ungu ikiwataka wananchi wa vijiji vyote kuhakikisha wanashiriki ipasavyo maeneo yanayohitaji nguvu kazi yao kwani Lengo la Serikali ni kufunguliwa kwa shule hiyo mapema iwezekanavyo ili kuwaepusha wanafunzi kusafiri umbali mrefu kufuata huduma ya Shule

Mhe Tusalim Mwaijande, Mhe Sailon Mbalawata, Mhe Kimo Choga, Mhe Phide Mwalukasa, Mhe Rehema Kifwamba, Mhe Samweli Komba na Mhe Haji Chapa pamoja na Ushauri walioutoa maeneo mbalimbali wameishukuru Serikali ya awamu ya sita kuendelea kuleta fedha kwenye Halmashauri ya wilaya ya Chunya jambo ambalo litaendelea kuondoa adha kwa wananchi wa Chunya kwani huduma zote zitapatikana kwa weledi na kwa wakati

Ziara ya kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya imedumu kwa siku mbili na imekagua miradi mbalimbali ikiwepo Ujenzi wa Mabweni kwa shule za Sekondari Sangambi, Isenyela na Makongolosi, Ujenzi wa Stendi Mpya ya Mabasi, Ujenzi wa Uwanja wa Michezo, Ujenzi wa vyoo na tanki la maji Zahanati ya Bitimanyanga, Ujenzi wa Bwalo la Chakula Shule ya Sekondari Lupa na baadaye kukamilisha ziara kwakukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule Mpya ya kata ya Nkung’ungu

Wajumbe wa kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya  wakishauriana wakati wakitazama Shimo la Choo lililojengwa chini ya kiwango katika Shule ya Msingi Isangawana wakati wa ziara yao ya kawaida ya kukagua utekelezaji wa miradi ya Maendeleo inayotekelezwa ndani ya wilaya ya Chunya

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.