• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

USAFI IWE JADI YETU

Imewekwa: September 17th, 2023

Afisa utumishi na rasilimali watu wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu John Maholani akimwakilisha  Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri amewataka wananchi  kuendelea kufanya usafi wa mazingira wakati wote na  ili kufanikisha  hio ni lazima  usafiwa mazingira iwe jadi yetu.


Kauli hiyo ameitoa 16/09/2023 wakati wa kilele cha maadhimisho  siku ya usafishaji duniani ambapo kwa halmashauri ya Wilaya ya Chunya wameadhimisha kwa kufanya usafi wa mazingira ya ndani na nje katika Soko la Uhindini lililopo kijiji cha Kibaoni kata ya Chokaaa.


Nae afisa mazingira wa halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Yohana  Ngulukia amewataka wananchi kudumisha usafi wa mazingira kama sehemu ya maisha ya kila siku  kwani mazingira yanapokuwa safi  na afya zitakuwa salama  lakini mazingira yanapokuwa machafu husababisha mlipuko wa magonjwa mbalimbali .


“Nawaomba wananchi tuzingatie sana usafi wa mazingira usafi iwe jadi yetu kwani  usafi ni kinga  na kinga ndio tiba ya magonjwa mbalimbali ya mlipuko yanayosababishwa na uchafu wa mazingira  na usafi huu tulioufanya leo hapa uendelee kufanyika mara kwa mara”.


Aidha Ngulukia ameongeza kuwa Jukum la Usafi  wa mazingira ni suala la kulizingatia na kulipakipaumbele  kuanzia majumbani,katika taasisi na maeneo yanayotuzunguka  hivyo ni vyema usafi uzingatiwe kwa kufwata utaratibu pasipo  kusubiria  kuchukuliwa hatua au kotozwa faini kwasababu ya kutokufanya usafi.


‘‘Twendee kufanya usafi hata majumbani kwetu mazingira bado hayaridhishi kila mtu awajibike kwa kufanya usafi wa  mazingira , kuchimba mashimo ya taka na kuchoma taka ngumu  pamoja na kusafisha mitaro inayotuzunguka  tuifanye Chunya yetu iwe safi wakati wote.alisema Ngurukia”


Katibu wa Soko la Uhindini  ndugu Metusela Kilawa kwa niaba ya wafanyabiashara wa soko hilo amewashukuru watumishi mbalimbali na wananchi waliojitokeze kufanya usafi sokoni hapo na kuahidi kuwa usafi wa mazingira sokoni hapo utaendelea kufanyika mara kwa mara.


Maadhimisho haya yameadhimishwa tarehe   16/09/2023  ya kiongozwa na kauli mbiu inayosema “Tuungane pamoja ,Kujifnza,Kupanga na Kuhimiza Uimarishaji Huduma za Udhibiti wa Taka”na yamehudhuriwa na watumishi mbalimbali wa halmashauri ya wilaya ya Chunya, viongozi wa dini, vyombo vya ulinzi na usalama, wananchi na wafanyabiashara  wa soko hilo.

Afisa Mazingira Halmashauri ya wilaya ya Chunya Bw. Yohana Ngulukia amizungumza jambo na wananchi waliojitokeza katika zoezi la kuisafisha dunia Septemba 16, 2023


Wananchi pamoja na watumishi wakichoma taka baada ya kukusanya toka maeneo mbalilmbali ya soko la Uhindi katika siku ya kusafisha Dunia

Baadhi ya wananchi na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya wakisikiliza nasaha za Viongozi baada ya zoezi la kuisafisha Dunia kukamilika katika soko la Uhindi september 16, 2023

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.