• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

TURUDI KWENYE MISINGI YETU YA KUDUMISHA AMANI.

Imewekwa: April 22nd, 2024

Mkuu wa wilaya ya chunya Mhe, Mbarak Alhaji Batenga  amewataka  wananchi wa Chunya kuendelea kuliombea Taifa la Tanzania na Viongozi wake ili Amani iliyopo iendelee kudumu huku akiwasisitiza wananchi wote bila kujali dini na dheheubu Kulinda na kudumisha Amani jambo liotakalofanya tuendelee kujihusisha na shughuli za maendeleo na Jambo hilo linawezekana kwa njia ya Maombi kwa

Kauli hiyo ameitoa mapema leo tarehe 22.Aprili 2024 wakati wa dua na Maombi ya kuliombea Taifa katika maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanzania yaliyofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya (Sapanjo).

‘“Ili Amani iweze kupatikana lazima watu wakubali kutenda haki tusipotenda haki tunatafuta kuvuruga amani kama wewe ni mtumishi tenda haki katika nafasi yako ,ukiwa wewe ni mfanyabiashara tenda haki katika afasi hiyo ,tunapokuja  kuliombea Taifa nasisi pia tujiombee  kwasababu kama amani inavurugika sisi ndio tunaovuruga.’’alisema Batenga

Mwenyekiti jumuiya ya maridhiana ya Amani Wilaya ya Chunya Mch Anyandwile Kajange kutoka kanisa la Moraviani kwaniaba ya viongozi wa Dini zote  amempongeza Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe  Dkt Samia Suluhu Hassan kwa  miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Chunya pamoja na kwenedea kuilinda na kuidumisha Amani huku akiomba Serikali kuingilia kati Matumizi ya Mitandao ili kudhibiti mmomonyoko wa Maadili kwa Taifa.


Nao viongozi wa dini sheikh Abdulijalili Jambia na Fr Kanon Mapunda Mchungaji  kutoka Kanisa la Angikana kwaniaba ya Viongozi wa dini wamewaongoza wanacnhi wa wilaya ya Chunya katika dua na maombi ya kuliombea Taifa la Tanzania pamoja na viongozi wote  ili kuendelea kudumisha amani na kuulinda Muungano  pamoja na kuomba Mungu aliepushe  Taifa dhidi ya majanga mbalimbali yanayoendelea kuikumba nchi ya Tanzania.

Awali akitoa salama Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu Tamimu Kambona amewapongeza wananchi wa Chunya kwa utulivu, ushiriki wao kwenye miradi ya maendeleo na kuwataka kwendelea kuilinda Amani iliyopo pamoja na   kudumisha Muungano wa Tanzania.

“Niwashukuru  Mkuu wa Wilaya,Viongozi wa Chama, viongozi wa  dini mbalimbali ,waheshimiwa madiwani na wananchi  kwa Ushirikino mkubwa mnaotupatia kama Halmashauri niwaombe ushirikiano huu mwendelee kuutoa lakini pia twendelea kuimarisha Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar  kwani Muungano huu tulinao ndio unaotufanya twendelee kuishi kwa  Amani bila ubaguzi wa aina yeyote.”alisema Kambona.

Ibada hiyo ya Dua na Maombi ya kuliombea Taifa yamefanyika leo, katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya (Sapanjo) ikiwa ni kelekea Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanzania, Ibada  imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa dini, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM, Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya , Wanafunzi pamoja na wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya mhe. Mbarak Alhaj Batenga aliesimama katikati akiwa na viongozi wa dini pamoja na viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kumaliza  Dua na Maombi ya kuliombea Taifa yaliyofanyika katika Ukumbi wa Sapanjo  wilayani Chunya.

Waheshimiwa Madiwani ,Viongozi wa dini , Viongozi wa Chama cha Mapinduzi ,watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, pamoja na Wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Dua na Maombi ya kuliombea Taifa katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano  yaliyofanyika katika Ukumbi wa Sapanjo Wilaya ya Chunya.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.