• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

TUMIENI VYOMBO VYA HABARI NA NJIA NYINGINE KUTOA ELIMU YA BIMA YA AFYA KWA WANANCHI.

Imewekwa: January 7th, 2026


Mkuu wa Wilaya ya Chunya SACI, Mbaraka Alhaji Batenga ametoa rai kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kutumia vyombo vya habari ikiwemo redio , television  pamoja na simu za mkononi  kwaajili ya kutoa elimu kwa wananchi juu  mfuko wa Bima ya Afya kwa wote kwani kwa kufanya hivyo wananchi wengi watafikiwa hiyo ikiwa ni adhima ya serikali ya  kuhakikisha kila Mwananchi anakuwa na Bima ya Afya.

Kauli hiyo ameitoa leo tarehe 07/01/2026 wakati wa kikao cha  kamati ya afya ya Msingi (PHC)  kilichoketi katika Ukumbi wa Mikutano wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa lengo la  kuwajengea uwezo juu ya bima ya Afya kwa wote.

“Wakati umefika sasa tumieni na vyombo vya habari mkotoe elimu huko ili muweze kuwafikia wananchi wengi , lakini pia hata kutumia simu za mkononi kutuma ujumbe kuhusu Bima ya Afya kwa wote kusudi elimu hiiweze kuwafikia wananchi wengi Zaidi.” Amesema SACI Batenga

Aidha SACI. Batenga emeongeza kuwa ofisi yake imenunua  simu maalumu kwaajili ya kupokea malalamiko mbalimbali ya Wananchi  ambapo namba za simu   hiyo zitawekwa katika kila taasisi na ofisi zinazotoa huduma kwa Wananchi ikiwa ni pamoja na Hospital ya Wilaya ya Chunya  ili  kutatua kero za Wananchi kwa wakati na kuboresha upatikanaji wa huduma.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chunya Dr Zuberi Mzige ameahidi katika kikao hicho kuendelea kushirikiana na Mfuko wa Bima wa Taifa kutoa elimu katika mikusanyiko mbalimbali ikiwa ni pamoja na taasisi za dini na taasisi zingine  ili kuwawezesha wanachunya kuwa na ufahamu juu ya umuhimu wa Bima ya Afya kwa wote , lakini pia ameahidi kushughulikia changamoto mbalimbali  za watoa huduma  ili kuhakikisha huduma zinatolewa kwa wananchi pasipo Malalamiko

 Msimamizi wa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF)  Mkoa wa Mbeya Ndugu Nicholaus Mwangomo  ameeleza mambo mblimbali yanayohusiana na Bima ya Afya kwa wote ikiwa ni pamoja na huduma mbalimbali , gharama za bima ya Afya kwa wote , vitita mbalimbali vya huduma  , namna ya kujisajili pamoja na mambo mengine mengi.

Wakizungumza kwa niaba ya wajumbe wengine  ndugu John Gwimile, Steven Sungura , Mjanaeli Salehe  wamehoji mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na ushiriki wa maduka ya dawa ya watu binafsi, uwezeshwaji wa wazee, garama za Bima ya Afya kwa wote kwa watu wa hali ya chini na mambo mengine mengi ambayo yote yalipatiw majibu.

Kikao cha kamati ya Afya ya Msingi kimehusisha  kamati ya usalama, wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na taasisi za dini, taasisi za umma na taasisi binafsi na wawezeshaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).

Mkuu wa Wilaya ya Chunya SACI. Mbaraka Alhaji Batenga akizungumza na wajumbe wa kamati ya afya ya Msingi wakati wa kikao cha kuwajengea uwezo juu ya bima ya Afya kwa wote  kilichoketi katika ukumbi wa Mikutano wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.


Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chunya Dr Zuberi Mzige  akijibu baadhi ya hoja  zilizoibuliwa  na wajumbe kwenye kikao cha kamati ya Afya ya Msingi.

Msimamizi wa Mfuko wa Bima wa Taifa (NHIF) Ndugu Nicholaus Mwangomo akiwajengea uwezo wajumbe wa kamati ya Afya ya Msingi  juu ya Bima ya Afya kwa wote katika Ukumbi wa mikutano wa Sapanjo.

Wajumbe wa kamati ya Afya ya Msingi wakiendelea kufuatilia mada mbalimbali kutoka kwa Mwezeshaji juu ya Bima ya Afya kwa wote  katika ukumbi wa Mikutano wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya


Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • TUMIENI VYOMBO VYA HABARI NA NJIA NYINGINE KUTOA ELIMU YA BIMA YA AFYA KWA WANANCHI.

    January 07, 2026
  • KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA KATA WATAKIWA KUSIMAMIA UREJESHWAJI WA MIKOPO..

    December 30, 2025
  • MHE MASACHE AUNGANA NA VIONGOZI WA DINI NA SERIKALI KUSISITIZA UWEPO WA AMANI.

    December 04, 2025
  • WATALAM NA MADIWANI WAASWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    December 02, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.