• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

TUMERIDHISHWA NA UTEKLEZAJI WA MIRADI WILAYA YA CHUNYA

Imewekwa: December 27th, 2021

Toka tumeanza kukagua na kutembelea Miradi hakuna miradi iliyoenda vizuri kama hapa Chunya.

Hayo yamebainiwa wakati wa ziara ya kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi [CCM] Mkoa wa Mbeya walipo tembelea na kukagua Miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa unaotekelezwa chini ya Mpango wa maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko19.

Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya, Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya Ndg Saad Kusilawe akisema anawapongeza viongozi na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya kwa Usimamizi na Utekelezaji mzuri wa Ujenzi wa vyumba vya madarasa.

“Niwapongeze kwa usimamizi mzuri wa majengo haya kwani ukitamzama yanaakisi kiwango cha fedha zilizotolewa, mmefanya vitu vizuri sisi kama CCM mkoa tumeridhishwa na hiki tulicho kiona” Kusilawe

Pia Kusilawe aliongeza kwa kusema wao kama CCM Mkoa wameridhishwa na miradi yote waliotembelea na hakuna hata mradi wowote wenye tatizo nao wameridhika, viongozi endeleeni kufanya kazi na muwe na ushirikino kwani ni jambo la msingi sana.

Naye katibu wa Itikadi siasa na Uenezi mkoa wa Mbeya Ndg Bashiru Madodi amesema Chama cha Mapinduzi mkoa wa mbeya kimeridhika na kazi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa wilaya ya Chunya, niwapongeze Viongozi wote wa halmashauri hii kwa kazi kubwa na Nzuri ya Ujenzi wa Madarasa.

“Toka tumeanza kukagua na kutembelea miradi hii hakuna miradi iliyoenda vizuri kama hapa halmashauri ya wilaya ya Chunya, kazi ya ujenzi wa madarasa wilaya ya chunya CCM mkoa tumeridhika nayo”.

 Katika ziara ya CCM mkoa miradi iliyotembelewa ni pamoja na Ujenzi wa vyuma vya madarasa shule ya sekondari Isanyela, Shule ya Sekondari Kiwanja, Shule ya Sekondari Makongolosi, Kituo shikizi cha Kalungu na Kituo shikizi cha Machinjoni.

Wajumbe wa kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mbeya wakikagua ujenzi wa vyumba vya Madarasa katika Kituo shikizi Cha Kalungu

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.