• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

SOKO LA MADINI CHUNYA

Imewekwa: February 1st, 2019

Mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bi. Sophia J. Kumbuli ametoa eneo la hekari mbili (2) kwa ajili ya ujenzi wa ghala na soko la madini katika  kata ya Mbugani kijiji cha Kiwanja.

Hata hivyo kutokana na kauli ya Mhe. Rais ya .... imeonekana kuwa zoezi hilo ni la haraka na mipango ya ujenzi soko hilo ni ya muda mrefu. Katika kulifanikisha zoezi hilo,Mkuu wa wilaya Mhe. Maryprisca Mahundi amefanya maongezi na uongozi wa benki ya NMB kwa ajili ya mpango wa haraka ambapo wamekubaliana kuwa, kwa sasa soko, pamoja na ghala litakuwa katika Tawi la benki ya NMB -Chunya kwani jengo hilo lina miundombinu rafiki.

Akiwa katika mkutano wa baraza la madiwani mwishoni mwa mwezi, hususani wakati wa kujadili agenda ya rasimu ya masoko ya madini, kwa pamoja Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Chunya wamefafanua ni namna gani soko la madini litafanikiwa likijengwa karibu na maeneo ya uchimbaji.

" Halmashauri itaongeza mapato yake kwa sababu watu watauza madini ndani ya halmashauri kitu ambacho kitaipatia halmashauri tozo na kodi mbalimbali. Pia itasaidia kuongeza usalama kwa wachimbaji kwani hawatatembea umbali mrefu kwa ajili ya kutafuta soko. Soko hili pia litazuia utoroshaji wa madini kwani hakutakuwa na sababu ya kwenda mbali kuuza jambo ambalo litarahisisha  mamlaka husika kufuatilia kwa ukaribu utoroshwaji wa madini". Mahundi.

 Aidha Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Chunya amesisitiza sana kuhusu ukusanyaji wa mapato kwani mapato ni kipaumbele cha Taifa. Pia ameagiza timu ya mapato kuongeza jitihada katika makusanyo ya mapato, na kuahidi kuwa atahakikisha anaiwezesha timu ya mapato ili ifanye kazi kwa weledi na kufikia lengo la kukusanya zaidi ya  80%  ifikapo mwisho wa mwaka

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.