• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Shirika la DSW Kuanza kutekeleza Mradi wa REST Wilaya ya Chunya.

Imewekwa: November 22nd, 2024

Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali la Deutsche Stiftung Wettbevolkerung (DSW), Peter Owaga ametambulisha mradi wa Reproductive Equity Strategy in Tanzania - REST, ambao utajikita katika upatikanaji na utumiaji wa huduma za afya na elimu ya uzazi, kujikinga na  mimba za utotoni, VVU, kutokomeza ukatili kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mradi wa REST, Mkurugenzi wa DSW, Peter Owaga Novemba 22, 2024 katika Ukumbi wa Ofisi ya DSW uliopo Mbeya mjini amesema mradi wa REST utafika kwenye kata sita zilizopo Wilaya ya Chunya ambazo ni Kata ya Sangambi,Chokaa, Matundasi, Makongolosi, Lupa na Mafyeko ili kukutana na watendaji kata na maafisa maendeleo ya jamii ili kutoa elimu na uelewa kuhusu mradi wa REST ambao malengo yake ni kutoa elimu ya afya ya uzazi,kujikinga na  mimba za utotoni, VVU, kutokomeza ukatili kwa wananchi wa Wilaya ya Chunya.

“Tunatarajia kufika Chunya tarehe 1 Disemba, 2024 siku ya maadhimisho ya UKIMWI duniani ambapo tutakutana na viongozi wa kata sita tulizozichagua ili tuwape uelewa kuhusu mradi na namna ya kuutekeleza ili kujenga ustawi wa jamii bora kwa wananchi wa Chunya” amesema Owaga.

Kwa upande wake mganga mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Chunya Dkt. Darison  Andrew amesema watafanya tathmini ya utekelezaji wa malengo ya mradi ili kuona mabadiliko ambayo yatasaidia kuleta tija ya mradi kama ulivyopangwa.

“Natamani kuona kuimarika kwa ushiriki, kuongezeka kwa uwezo wa wadau, kuanzishwa kwa Klabu za Afya shuleni, kuwezesha vijana kutambua afya zao  kupitia Klabu za Afya ili kujenga jamii bora na kupata tathimini ya tija ya mradi” amesema Dkt. Darison.

Naye, Bi Ester Kondobole, kaimu Afisa Maendeleo ya jamii Wilaya ya Chunya amesema mradi wa REST umefika wakati muwafaka Chunya ambapo utasaidia kuleta matokeo chanya na kuboresha afya kwa jamii ya wananchi wa Chunya.

Shirika la DSW linatekeleza mradi wa REST kwa lengo la kutoa elimu ya afya na maendeleo katika kwa jamii katika mikoa sita ambayo ni Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Iringa, Arusha na Mbeya. Katika Mkoa wa Mbeya Shirika litatekeleza mradi katika Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

b

Baadhi ya Washiriki wakifuatikia kwa ukaribu kikao cha utambulisho wa mradi wa REST uliofanyika kwenye ukumbi wa shirika la DSW, Mkoa wa Mbeya leo 22 Novemba, 2024


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.