• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

RC MBEYA “TIMU ZETU ZIRUDI LIGI KUU”

Imewekwa: July 20th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Homera amewataka viongozi wa Halmashauri zote Mkoani Mbeya kutenga maeneo ya michezo ili kujenga viwanja vya michezo ambavyo vitatumika kwaajili ya michezo mbalimbali na kupelekea vipaji vijana kupata ajira kupitia michezo


Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa mashindano ya SAMIA MBEYA SUPER CUP yanayofanyika wilayani Chunya na kushirikisha timu nane toka Halmashauri zote za Mkoa wa Mbeya, amesema kama mkoa wamejipanga kuhakikisha kama mkoa unaongeza timu ligi Tanzania na kusema tayari mikakati mbalimbali imeanza kutekelezwa ikiwepo uzinguzi wa jezi za Mbeya city


“Halmashauri zote mkoani Mbeya Tengeni maeneo ya kujenga viwanja vya Michezo na pia tengeni bajeti kwaajili ya michezo kwani mashindano haya ni endelevu na kwakufanya hivyo ni kummunga Mkono mweshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwani amenesha juhudi za wazi kuziunga mkono timu za Yanga na Simba kwa kutoa pesa kila walipopata goli katika mashindano ya kimataifa”


“Kuna faida katika Mashindano haya kwani wako wachezaji watachaguliwa kwenda ligi mbalimbali Tanzania na hiyo ndo dhamira kuu ya kuibua vipaji toka mitaani lakini pia mashindano yanalenga kuhakikisha timu toka Mkoa wa Mbeya zinaongezekana katika ligi kuu na Tayari mikakati mbalimbali imewekwa ili kuhakikisha Mbeya City iliyoshuka daraja inarudi ligi kuu”


Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka S Mayeka kwaniaba ya uongozi wa wilaya ya Chunya amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwa Mashindano haya ya Samia Mbeya Super Cup 2023 huku akiahidi wilaya yake ya Chunya kutoa Mshindi wa Kwanza


Mashindano hayo yanashirikisha timu nane kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Mbeya huku wilaya ya Chunya (Mwenyeji) ikitoa timu Mbili, Mpaka sasa Timu ya Mbeya jiji inaongoza Kundi lake kwakuwa na alama nne baada ya michezo mitatu wakati kundi B. timu kadhaa zimefungana kwa kuwa na alama mbili (2) na gori moja)


Mashindano hayo yanaendelea leo tarehe 20/7/2023 kwa timu za CHUNYA B Vs MBEYA DC, KYELA DC Vs RUNGWE, MBARALI Vs MBEYA JIJI, CHUNYA DC A Vs BUSOKELO

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Homera akisalimia na viongozi mbalimbali wa serikali, chama Cha Mapinduzi na Viongozi wa Mpira wa Miguu baada ya kuwasili katika uwanja wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ulipo Mbugani

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka S Mayeka akitoa salamu Mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya 

Wananchi wapenda Michezo wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya wakati wa Ufunguzi wa Mashindano ya Samia Mbeya Super Cup 2023 wilayani Chunya


Baadhi ya wananchi wapenda Michezo wakishuhudia kikundi cha Dance chenye jina Waarabu Dnacers wakitoa burudani Mbele ya Mgeni Rasmi wakati wa Hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya Samia Mbeya Super Cup 2023

Timu zikiendelea kupambana ili kuingia kwenye washindi watatu bora ambao wataensda kushiriki mashindano mengine wilayani Kyela pamoja na kupata zawadi mbalimbali za Samia Mbeya Super Cuyp 2023

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.