• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

RC HOMERA, APONGEZA CHUNYA KWA MATUMIZI MAZURI YA MAPATO YA NDANI

Imewekwa: September 10th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera amewapongeza viongozi wa Wilaya ya Chunya kwa matumizi mazuri ya mapato ya ndani katika ujenzi wa miradi ya Maendeleo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Stend mpaya ya Mabasi   itakayojengwa Kijiji cha Sinjilili katika kata ya Itewe .

Pongezi hizo amezitoa Septemba 9, 2024 wakati wa hafla ya utiaji saini ujenzi wa stendi mpya ya mabasi ya Wilaya ya Chunya ambayo inajengwa na mkandarasi mzawa (AMJ Global Mult Constractors Company kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

“Tunajivunia Wilaya ya Chunya kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani  na matumizi sahihi ya mapato hayo kwani mmejenga miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kutumia mapato ya ndani ya Halmashauri.” alisema Homera.

 Homera, ameweka bayana dhamira ya Mhe. Rais  juu ya matumizi sahihi ya mapato ya ndani pamoja na kuhakikisha miradi  ya maendeleo inajengwa na kukamilika kwa wakati .

Naye Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mbarak Alhaji  Batenga amemhakikishia Mhe.Homera  kwamba watasimamia ujenzi wa stendi hiyo  ya mabasi inayotarajiwa kuanza kujengwa ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati uliokusudiwa na kwa viwango.

Aidha , Mhe. Batenga amesema Wilaya ya Chunya ni Wilaya ya madude (majengo) na wananchi wake wamekuwa   wakijituma na kuchangia shughuli mbalimbali za Maendeleo ili kuungana na Serikali kuhakikisha wananchi wake wakiwepo wananchi wa wilaya ya Chunya wanapata Mendeleo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chunya, Mhe. Bosco Mwanginde wakati akitoa salamu za wananchi kwa Mkuu wa mkoa amesema yeye na baraza lake kwa kushirikiana na wataalam  wa Halmashauri  watahakikisha wanasimamia ujenzi huo kwa weledi na kuhakikisha muda waliokubaliana na mkandarasi kukamilisha ujenzi unazingatiwa na mradi unakamilika kwa viwango vilivopo kwenye mkataba.

Awali akitoa taarifa ya ujenzi wa stendi hiyo ya mabasi, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Tamim Kambona amesema, mradi huo utagharimu kiasi cha Bilion 3.1 ambazo ni mapato ya ndani ya Halmashauri.

 “Stendi hii ni maagizo ya Mheshimiwa Rais alipokuja Chunya mwaka 2022, aliagiza Halmashauri ijenge stendi kupitia mapato yake ya ndani” alisema Kambona.

Hafla ya kusaini Mkataba wa ujenzi wa Stend mpya ya Mabasi Chunya imefanyika tarehe 9/9/2024 katika viwanja ambapo stendi hiyo itajengwa na imeshuhudiwa na kamati ya Ulinzi na usalama Mkoa wa Mbeya, Kamati ya ulinzi na Usalama ya Wilaya, Viongozi wa dini, viongozi wa mila ,Wataalam mbalimbali kutoka Halmashauri, wandishi wa Habari, wakuu wa Taasisi, Wadau wa Maendeleo na Wananchi wa wilaya ya Chunya Hususani wananchi wa kata ya Itewe.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya (Alikaa upande wa Kulia na amevaa koti la draft na Tishert ya njano Ndani) akisaini mkataba wa ujenzi wa Stendi ya Mabasi wilaya ya Chunya, Upande wake wa pili ndiye Mkandalasi wakati upande wake wa Kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

Baadhi ya waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya wakishuhudia zoezi la utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Stendi Mpya Chunya

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.