• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MWENGE WA UHURU KUKIMBIZWA KILOMETA 1155 5 MKOANI MBEYA

Imewekwa: September 8th, 2023

Mwenge wa uhuru mwaka 2023 unataraji kukimbizwa Kilometa 1155.5 katika halmashauri zote saba za Mkoa wa Mbeya na utadumu kwa siku saba ambapo miradi yenye Thamani ya Bilioni 36.4 itatembelewa, itazinduliwa na mingine itawekewa mawe ya msingi

Akizungumza katika hafla ya mapokezi ya mwenge kimkoa 7/9/2023 katika kijiji cha Ikuti halmashauri ya wilaya ya Rungwe Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mhe. Beno Malisa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amesema mwenge wa uhuru katika Mkoa wa Mbeya utakimbizwa umbali wa kilometa 1155.5, miradi mbalimbali itatembelewa, kuzinduliwa na kuweka mawe ya msingi katika miradi 45 yenye thamani ya 36.4

Mwenge wa uhuru September 7, 2023 unakimbizwa wilayani Rungwe kwa umbali wa kilometa 100 huku mkesha ukitajwa kufanyika uwanja wa shule ya Msingi Kiwira iliyopo katika halmashauri ya wilaya ya Rungwe na kesho utakabidhiwa katika wilaya ya Kyela na kuendelea kukimbizwa huku na baadaye Halmashauri nyingine za Mkoa wa Mbeya

Wilaya ya Chunya inataraji kupokea Mwenge wa Uhuru Septemba 13,2023 katika uwanja wa Mpira wa Miguu Sinjilili na kukumbizwa kilometa 247  ambapo mwenge utembelea, utazindua na kuweka mawe ya msingi kwenye Miradi yenye thamani ya bilioni 2.9 huku mkesha wa Mwenge wa uhuru 2023 wilayani Chunya ukitaraji kufanyika kijiji cha Bitimanyanga.

Miradi mbalimbali ikiwepo Mradi wa ujenzi wa shule ya  msingi ya mchepuo wa Kiingereza wenye thamani ya Milioni 348, Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya ya Chunya wenye thamani ya milioni 384, mradi wa zahanati ya Everest wenye thamani ya Milioni 48, ujenzi wa maabara ya kupima madini ya dhahabu wenye thamani ya milioni 955, Mradi wa uchimbaji visima 26 wenye thamani ya milioni 910 na  ujenzi wa kiwanda  kidogo cha kusindika mafuta na kusaga unga wa mahindi wenye thamani ya milioni 263

Mwenge wa uhuru 2023 umepokelewa 7/9/2023 katika Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa wilaya ya Mbeya akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbyea ukitokea katika Mkoa wa Songwe ambapo Mkuu wa wilaya ya Mbozi Bi Ester Mahawe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa huo amekabidhi mwenge wa uhuru 2023 baada ya kutamatisha ratiba yake ya kuangazia, kumulika, kukagua miradi mbalimbali katika Halmashauri ya mkoa wa Songwe

 Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mhe. Beno Malisa akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa katika hafla ya mapokezi ya mwenge kimkoa wilayani Rungwe

Mwenyekiti wa umoja wa Vijana  (UVCCM) wilaya ya Chunya mdugu Leckson O. Mwakasuluka ( wapili kutoka kulia waliovaa kombati) ni moja kati ya wakimbiza mwenge ngazi ya Mkoa  katika haflea ya mapokezi ya mwenge  kimkoa iliyofanyika wilayani Rungwe katika kijiji cha Ikuti

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.