• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MRADI WA “KIJANA WA MFANO” KUTEKELEZWA CHUNYA.

Imewekwa: May 23rd, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Chunya imepokea mradi wa kuwawezesha vijana kujitambua “KIJANA WA MFANO” ambao utatekelezwa na Taasisi isiyo ya kiserikali ya YOUNG & ALIVE INITIATIVE (YAI) ambapo kata sita za wilaya ya Chunya zitafikiwa na mradi huo.

Mradi huo unalenga kuzifikia Kata za Itewe, Chokaa, Makongolosi, Bwawani, Matundasi na Chalangwa.

Akizungumza katika kikao cha kuutambulisha Mradi huo kilichoshirikisha Wataalamu kutoka idara Mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Chunya katika ukumbi wa Mikutano jengo jipya la Halmashauri , Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi hiyo Ndugu William Otuck amesema lengo la Mradi huo ni kuwajengea uwezo vijana katika mambo mbalimbali yakiwepo Namna ya kuzuia Ukatili, Uelewa wa Masuala ya Fedha, Uelewa juu ya Madhara ya Pombe na Madawa ya Kulevya, Uelewa juu ya Masuala ya Uzazi na Mambo mengine

Katibu Tawala wa wilaya ya Chunya Bw. Anakletth Michombero ameshauri mradi huo uwafikie vijana wa Chunya kwa uwakilishi wao huku akihoji sababu zilizotumika kuchagua kata tajwa hapo juu huku akisema zote zinakaribia katika mambo mengi hasa shughuli za Kiuchumi (Uchimbaji) Jambo ambalo linaweza kushindwa kuleta ufanisi kwani jamii nyingine kama za kifugaji na kilimo zimeachwa kando.

“Ningeshauri huu mradi ungehusisha jamii za kifugaji na hata za wakulima kwani nazo zimesikika sana katika mambo ya ukatili wa kijinsia na mambo mengine hivyo mradi ungewahusu katika kuleta ustawi wa wanajamii na Taifa kwa ujumla wake” Michombero

Mratibu wa Afya ya Uzazi wilaya ya Chunya Bi Nerea Mwafulilwa amehoji namna ambavyo mradi wa “Kijana wa Mfano” utakavyo wafikia watu wengine ambao ni sheheumu kubwa ya jamii ambako vijana lengwa wanakotoka ili hali mradi unawahusu vijana pekee

James Masunge na Grolia Kavishe kutoka ofisi ya Maendeleo ya Jamii wilaya ya Chunya, Zabron Mwalyego kutoka ofisi ya Ustawi wa Jamii Chunya, Cutherbth Mwinuka kutoka ofisi ya Kilimo Chunya, pajoa na wadau wengine wamehoji sababu za Mradi kutohusisha kilimo kwa sasa, Mbinu watakazotumia kuhakikisha ushiriki wa Vijana unakuwa wa kutosha lakini pia tija ya mradi kwa ujumla wake na baadaye kutoa mapendekezo mbalimbali ili kuboresha utekelezaji wa mradi huo katika wilaya ya Chunya

Mkurugenzi mtendaji wa mradi huo pamoja na kujibu hoja toka kwa wadau amesema mapendekezo yanayowezekana kutekelezeka kwa sasa yatazingatiwa na kufanyiwa kazi huku akisisitiza ushiriki wa wadau hao kuhakikisha mradi huo unafanikiwa

Mradi huo unataraji kugharimu dola 79,159.18 ambayo ni zaidi ya milioni 180 na unataraji kuanza kutekelezwa Mapema mwezi june na kumalizika Mwezi desemba ambapo ni karibu miezi sita. Mradi huo unatekelezwa katika Mikoa Miwili yaani Mkoa wa Mbeya na Mkoa wa Mwanza ambapo kata kumi na Mbili zikihusishwa, Kwa Mkoa wa Mbeya Kata zote sita zinapatika wilayani Chunya

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.