• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MKIPATA FURSA NYINGINE KAMA HIZI KARIBU SANA CHUNYA

Imewekwa: June 24th, 2024

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauru ya wilaya ya Chunya Ndugu Tamim H. Kambona ametaka shirika la Hellen Keller Internation na shirika la Himalayan Cataract Project (HCP) na wadau kuendelea kuendelea kuja Chunya ili kuwahudumia wananchi wa wilaya yay a Chunya jambo ambalo litaendelea kuimarisha afya za wananchi wa Chunya na hata wananchi kutoka nje ya wilaya ya Chunya kwakufanya hivyo uchumi wa wananchi wa Chunya na Tanzania kwa ujumla utaendelea kuongezeka

Ametoa rai hiyo mapema leo tarehe 24/6/2024 wakati alipowatembelea wanufaika wa huduma ya Uchunguzi na upasuaji wa Mtoto wa Jicho, pamoja na Madaktari bingwa wa Macho wanaoendelea kutoa huduma za matibabu ya ugonjwa wa Macho (Mtoto wa Jicho) katika Hospitali ya wilaya ya Chunya, huduma iliyodumu kuanzia tarehe 19/6/2024 mpaka tarehe 24/06/2026

“Hili jambo linalofanyika kwa wilaya ya Chunya halijawahi fanyika hapo awali na limejumuisha wananchi wengi wenye matatizo ya macho wilayani Chunya na Nje ya wilaya ya Chunya huku wengine wakisafirishwa kwa zaidi ya kilometa 200 na wameendelea kupata matibabu. Lakini tumeshuhudia watu walikuwa hawawezi kuona kwa zaidi ya miaka mitatu, minne na wengine saba lakini sasa wanaona. Na wengine wameshuhudia hapa kwamba wamehangaika maeneo mengi bila mafanikio lakini kupitia hiki kinachofanyika hapa watu wamepata suluhu”.

Aidha Ndugu Kambona amewashukuru shirika la Hellen Keller Internation na shirika la Himalayan Cataract Project (HCP) kuendelea kutoa uelewa na ufahamu zaidi kwa watalamu wetu wa ndani kwani nao walikuwa wanahusika kwa namna moja au nyingine ili kujipatia uzoefu na hatimaye hata zoezi hili litakapokuwa limehimitishwa basi wananchi wetu wataendelea kupata matibabu kupitia utaalamu na uzoefu walioupata lakini Hellen Keller Internation na shirika la Himalayan Cataract Project (HCP) watakapopata nafasi tena tunawakaribishwa kuja tena Chunya kutoa huduma kama hizi, Kwa niaba ya wananchi wote wa Chunya Tunawashukuru sana

Meneja wa mradi wa matibabu ya Macho Ndugu Athuman Tawaqal ametoa wito kwa mashirika mengine kuendelea kushirikiana na Serikali ili kutatua changamoto za wananchi wa Tanzania jambo ambalo litasaidia kuleta furaha kwa wananchi ambao wamekuwa na changamoto nyingi lakini wameshindwa kujipatia suluhu wao wenyewe na ameongeza kuwa changamoto ni kubwa sana hivyo nguvu Zaidi inatakiwa.

Kiongozi wa Jopo la Madaktari Bingwa Daktari Barnabas Mshangila anasema lengo lilikuwa kuwahudumia wananchi 450 wenye matatizo ya macho (Mtoto wa Jicho) lakini mpaka muda huu ikiwa ni siku ya mwisho tumesha hudumia wagongwa mia nne na ishirini hivyo ni matumaini yao lengo litafikiwa. Dkt Mshangila ameongeza kuwa huduma hii huleta furaha kwa watu wengi hasa pale ambapo mgonjwa alikuwa hajawai kuona na sasa kupitia huduma zilizotolewa zimemsaidia kuona tena hivyo lengo la kuleta matibabu linakuwa limefikiwa vizuri na limerudisha furaha kwa wananchi wa wilaya ya Chunya na hata watanzania kwa ujumla wake

“Tulimopokea binti mwenye mume na watoto wawili lakini kutokana na changamoto hiyo alikuwa hajawahi kuwaona watoto wake na hata mkewa hivyo kupitia huduma hii ameweza kuwaona watoto wake pamoja na mumewe hivyo alipata furaha” amesema Dakrati Mshangila

kKmbi ya Matibabu ya Macho ilianza rasmi tarehe 19/06/2024 na inataraji kuhimishwa tarehe 24/06/2024 huku mpaka saa nne asubuhi ya tarehe 24/06/2024 wagonjwa 420 walikuwa tayari wamepatiwa huduma. Huduma za uchunguzi na upasuaji zimetolewa bure kabisaa bila kujali umri, umbali na vigezo vingine vyovyote.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu Tamim Kambona (Aliyavaa suti) akiongozwa na Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya akiwasalimu wananchi wakiwa kwenye foleni ya kupatiwa huduma mapema leo

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya akifurahia jambo na Madaktari bingwa waliofika kwenye kambi ya matibabu ya Macho wakati alipowatembelea mapema leo

Kiongozi wa Jopo la Madaktari Bingwa Daktari Barnabas Mshangila akifafanua jambo wakati alipozungumza na waandishi wa Habari mapema leo katika viwanja vya hospitali ya wilaya ya Chunya

Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya Daktari Darison Andrew (Aliyenyoosha Mkono) akifafanua jambo wakati Mkurugenzi mtendaji wilaya ya Chunya alipotembelea kambi ya matibabu ya Macho mapema leo


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.