• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

“MKAWE CHACHU YA KUTUMIA MFUMO MPYA WA UNUNUZI WA UMMA WA NeST"

Imewekwa: August 28th, 2023

Ndugu Vincent Mbua kwa niaba ya Katibu tawala  Mkoa wa Mbeya amewataka washiriki wa Mafunzo  ya mfumo mpya wa ununuzi wa Umma kwa njia ya mtandao  (NeST)  kuwa chachu katika kutumia mfumo huo ili kuleta tija na ufanisi kwa serikari na jamii nzima kama serikali imekusudia .

Kauli hiyo imetolewa Jana Agosti 27, 2023 wakati wa akifunga Mafunzo ya mfumo mpya wa ununuzi wa Umma kwa njia ya mtandao (NeST)  yaliyofanyika katiki ukumbi wa  mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya  yaliyojumuisha  Halmashauri zote saba (7)  za Mkoa wa Mbeya

“Ninyi wote mlioshiriki mafunzo haya Kutoka katika Halmashauri zote za Mkoa wa  Mbeya hakikisheni mnakuwa Chachu ya kuwaelewesha na kuwasaidia  wale wanaopaswa kutumia huu mfumo  wa NeST lakini pia kuhakikisha mfumo huu unaeleweka kule manakoenda na kuutekeleza kwa kuufanyia kazi kwa vitendo ili uweze kuwa ni mfumo wenye tija kama ulivyokusudiwa” alisema Mbua

Ndugu Mbua aliongeza kuwa  Mafunzo  mliyoyapata  yakawasaidie ninyi katika kupunguza hoja za wakaguzi wa ndani  na nje lakini pia kuongeza tija, uwazi na uwajibikaji kwa serikari kama ambavyo mfumo umelenge, pia mkaongeze ufanisi katika  mifumo ya manunuzi kwa utendaji wenu mzuri kama Serikali ilivyo kusudia 

“Ni matumaini yangu kuona hoja za ukaguzi katika mfumo huu  wa ununuzi zinapungua kuputia   mfumo huu mpya wa Ununuzi  mliyoyapata  kwa kuongeza umakini katika utendaji kazi wenu na kushirikiana vizuri na wakaguzi wenu wa ndani ili kuhakikisha Mfumo huu unakuwa na tija katika Halmashauri zetu” alisema Mbua

Mmoja wa  washiriki wa Mafunzo hayo ndugu Peter Tengu  kutoka Busokelo amesema kuwa kupitia Mafunzo hayo ya  mfumo  mpya wa ununuzi unaolenga kupunguza mianya ya rushwa, kuongeza Uwazi na Uwajibikaji  yatasaidia kuongeza ufanisi,  kuboresha utendaji kazi na kuleta tija katika serikari na jamii kwa ujumla 

Mafunzo hayo yaliyodumu kwa siku 5 kuanzia  tarehe 23/08/2023 na kuhitimishwa tarehe 27/08/2023  yamejumuisha Halmashauri zote saba za Mkoa wa Mbeya ambazo ni Halmashauri ya wilaya ya Chunya, Rungwe, Busokelo, Mbyeya jiji na Mbeya vjijini, Mbalali na Kyela  yamehusisha  Maafisa Manunuzi, Wakaguzi wa ndani,  Maafisa Tehama, Wanasheria , Maafisa habari na Maafisa Mipango.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.