• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MILLION 789.500,000 ZA KABIDHIWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU CHUNYA.

Imewekwa: November 21st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaj Batenga amekabidhi vikundi vya Wanawake, vijana na watu wenye ulemavu hundi yenye thamani ya shilingi million 789,500,000 kwaajili ya kuwezesha makundi hayo  kujikwamua kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na hatimae kuinua pato la taifa.

Mhe Batenga amekabidhi hundi ya  millioni 789,500,000  tarehe 21/11/2025 kwa vikundi 82 ambapo wanawake ni 40, vijana 39 na watu wenye ulemavu 3 katika ukumbi wa Sapanjo Halamashauri ya Wilaya ya Chunya.

Aidha Mhe. Batenga amesema kuwa mkopo wa asilimia 10 ni mpango wa serikali kuwawezesha wananchi wake kiuchumi lakini pia kuwawezesha waweze kujiajiri na kuajiri wengine ili kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na maisha bora na uwezo wa kujitegemea kiuchumi.

“Mikopo ya asilimia kumi ni mpango wa serikali kuwasaidia wananchi kujiwezesha kiuchumi ili kila mmoja aweze kusaidia familia yake ,lakini pia kumsaidia mwananchi kuwa na kazi halali inayoweza kumuingizia kipato kwaajili ya familia na kuwezasha kuwa na uchumi jumuishi   ambapo kila mwananchi anauwezo wa kujipatia kipato” alisema Mhe.Batenga.

Akizungumza katika hafla hiyo ya kukabidhi hundi Katibu wa chama cha Mapinduzi  Wilaya ya Chunya ndugu Charles Jokery ametoa msisitizo juu ya kulinda amani kwani pasipo kuwa na amani hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana hivyo maendeleo ya watu yanatokana na kuwepo kwa amani katika Taifa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Ndugu Tamim Kambona  amewahakikishia wananchi kuwa  Halmashauri ya Wilaya ya Chunya itaendelea kuhakikisha inatenga fedha  kwaajili ya mkopo wa asilimia 10 kwa vikundi vya Wanawake , vijana na watu wenye ulemavu kari makusanyo yatakavyokuwa yanaongezeka sambamba na kuendelea kujenga miradi ya maendeleo kupitia mapato ya Halmashauri.

Akisoma taarifa ya Vikundi ndugu Antony Ndenga amesema kwa kipindi cha robo ya kwanza ya Julai hadi Septemba  kwa mwaka wa fedha 2025/2026 jumla ya vikundi 82 ndivyo vilivyo kidhi vigezo vya kupata mkopo wa asilimia 10 unaotolewa na Halmashauri kupitia mapato ake ya ndanii kwaajili ya kwenda kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi.

Wakizungumza kwa niabaya wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 Daud Kachambuka,Neema Jeremiah wameishukuru serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wananchi wake kwa  kuwawezesha kiuchumi kupitia mkopo unaotolewa  na Halmashauri  bila riba yoyote.

Mikopo ya asilimia 10 hutolewa kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri  kwa awamu tofauti tofauti ili kuwezesha vikundi vya wanawake ,Vijana na watu wenye ulemavu  ikiwa ni adhima ya serikali kuwawezesha wananchi wake kiuchumi .

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe.Mbaraka Alhaj Batenga akizungumza adhima ya serikali ya kutoa mkopo wa asilimia 10  wakati wa hafla ya kukabidhi hundi vikundi 82 vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu  katika ukumbi wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya

Vikundi vya Wanawak,vijana na watu wenye ulemavu vikipokea hundi yenye thamani ya shilingi millioni 789,500,000  kwaajili ya fanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kujipatia kipato.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wialaya ya Chunya ndugu Tamim Kambona akiwahakikishia wananchi kwendelea kutoa mikopo ya asilimia kumi kwa kadri makusanyo yanavyoongezeka ili kwawafikia watu wengi zaidi .

Vikundi vya Wanawake Vijana na watu wenyeulemavu wakifuatilia hotuba wakati wa hafla ya kukabidhiwa hundi ya mkopo wa asilimia kumi unaotolewa na Halmashauri .


Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MHE MASACHE AUNGANA NA VIONGOZI WA DINI NA SERIKALI KUSISITIZA UWEPO WA AMANI.

    December 04, 2025
  • WATALAM NA MADIWANI WAASWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    December 02, 2025
  • CHUNYA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO VVU

    December 01, 2025
  • HAKIKISHENI MASHAMBA YOTE YA SHULE YANALIMWA MSIMU HUU WA MVUA.

    November 27, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.