• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MH.MWANGINDE “MKAVITUMIE VIPAZA SAUTI HIVI KWA SHUGHULI ILIYOKUSUDIWA”.

Imewekwa: November 15th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mhe.Bosco Mwanginde amewataka maafisa Maendeleo wa Kata waliokabidhiwa vipaza sauti kwaajili ya kuwarahisishia utendaji kazi wao na kuweza kuwafikia na kuwahudumia wananchi wengi kuhakikisha wanavitumia vipaza sauti hivyo kwa shughuli iliyokusudiwa na kwa matumizi mengine ili kutimiza adhima ya serikali ya kuwafikia Wananchi  na kuwahudumia katika maeneo yao.

Kauli hiyo ameitoa leo Novemba 15, 2024 katika jengo la Halmashauri  wakati akikabidhi vipaza sauti 9 vilivyogharimu kiasi cha shilingi million nne na laki tisa (Tsh. 4,950,000/=) kwa maafisa maendeleo ya jamii  wa kata.

“Naomba sana tukavitumie vipaza sauti hivi katika shughuli ambazo zitanufaisha kata husika na sivinginevyo kama tutaona vinatumika tofauti kama kwenye harusi na shughuli nyingine hatutasita kuchukua hatua  dhidi ya afisa huyo , vyombo hivi vinatakiwa vikatunzwe vizuri ili viweze kutumika kwa muda mrefu”Amesema Mhe. Mwanginde.

Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Ndugu Tamim Kambona  amesema kuwa vifaa hivyo vimenunuliwa ikiwa ni maagizo ya serikali kuhakikisha kila Halmashauri inawanunulia  vipaza sauti   Maafisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata kwaajili ya   shughuli za uhamasishaji na utoaji wa elimu kuhusu mikopo  ya 10% inayotolewa na halmashauri kupitia mapato yake ya ndani.

Kaimu Afisa Maendeleo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Bi Ester Kondobole amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya imetekeleza agizo la Waziri wa Maendeleo ya Jamii jinsia wanawake na Makundi maalumu  kwa  kununua vipaza sauti  kwa lengo la kufanya kazi za uhamasishaji jamii kwa suala la maendeleo , mikopo na miradi ya maendeleo  pamoja na mambo mengine yenye tija katika jamii.

Erick Msola,Twijisye Ephraim, Kaiza Sanga na Noelia Mwambela wakiwawakilisha Maafisa Maendeleo wenzao ngazi ya kata wameishukuru serikali kwa kuwanunulia vipaza suti  kwani vitawasaidia kuwafikia wananchi wengi katika kutoa elimu kuhusu mikopo inayotolewa na Halmashauri, elimu ya ukatili wa kijinsia  na masuala ya maendeleo katika jamii kwenye maeneo mbalimbali kama vile magulioni, Shuleni na Mikutano ya Hadhara na maeneo mengine.

Vipaza sauti  hivyo 9 vimetolewa kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata   katika kata 9 za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ambazo ni kata ya Sangambi, Chalangwa, Chokaa, Mamba, Makongolosi,  Mbugani, mkola , Lualaje  na Matundasi   ikiwa ni awamu ya kwanza ya utekelezaji wa agizo hilo na kwa awamu ya pili vipaza sauti vitagaiwa kwenye kata zilizosalia.

Mwnyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde akimkabidhi kipaza sauti Afisa Maendeleo ya Jamii kata ya Sangambi ndugu  Erick Msola katika Jengo la Halmashauri .

Maafisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Wilaya  na Kata kwenye picha ya pamoja wakati wa kukabidhiwa vipaza sauti kwa Maafisa Maendeleo ngazi ya Kata  katika Jengo la Halmashauri .


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.