• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MHE.BATENGA MUENDENI MKAWATENDEE HAKI WANANCHI.

Imewekwa: December 8th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe.Mbaraka Alhaji Batenga amewataka  viongozi   wapya wa Vijiji, Vitongoji na Wajumbe wa serikali za Vijiji kuwatendea haki wananchi waliowachagua kwa kutekeleza majukum yao , kusikiliza kero za wananchi  na kutenda haki bila kujali nafasi aliyonayo mtu kwani wamechaguliwa ili kuwahudumia wananchi .

Kauli hiyo ametoa leo Desemba 8/2024 wakati wa mafunzo kwa viongozi na wajumbe wapya wa serikali za Vijiji , Vitongoji na Wajumbe yaliyofanyika katika Tarafa ya Kipembawe kata ya Lupa  Ukumbi wa Shule ye Sekondari Lupa 

“Serikali imetumia gharama kubwa sana kuwaweka ninyi madarakani kwasababu ninyi ndio ngazi ya kwanza kabisa ya utawala wa serikali na wananchi wa Nchi hii mnaishi nao ninyi , hivyo mkumbuke wananchi kuipenda serikali kunatokana na ninyi na kuichukia serikali kunatokana na ninyi kwahiyo mwende mkawatendee haki Wnananchi hawa tusiende kuichonganisha serikali na Wananchi” amesema Mhe .Batenga

Aidha Mhe Batenga ameendelea kutoa msisitizo kwa Viingozi wa serikali za  Vijiji na Vitongoji kwenda kusimamia daftari la kitongiji la kuwasajili watu kuhakikisha kila kitongoji kinakuwa na daftari hai  kwani daftari  la kitongoji la kuwasajili watu  si la kisiasa  hiyo itasaidia kujua watu wanaoinga katika kijiji lakini pia itasidia hata katika mambo mengine ya kiusalama  pamoja na ugawaji wa ardhi.

Akitoa salamu za Chama Mwenyekiti Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Chunya ndugu Noel Chiwanga  amewataka watendaji wa kata na vijiji  wao kama watalaam kuwasaidia wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji na wajumbe wao  ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa weledi na si vinginevyo   lakini pia ametoa rai kwa wenyeviti wa vijiji na Vitongoji kuto kutumika vibaya badala yake wakawasaidie na kuwahudumia Wananchi wao.

 “Naninyi wenyeviti msiende kutumika vibaya, angalieni matatizo ya wananchi katika maeneo yenu husika na mkayatatue  mkawaoneshe wananchi kwamba mko kwaajili yao,  lakini pia Katika kila kijiji na kitongoji kuna miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa  na mama Samia nendeni mkaiseme hiyo kwa wanannchi lakini pia mkaisimimie vyema “ amesema Chiwanga

Naye kaim Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Cuthbeth Mwinuka  ametoa rai kwa viongozi  wa serikali za mitaa kwenda kusimamia maeneo yao ikiwa ni pamoja na kufuata sheri na taratibu za ukataji wa miti  kwaajili ya shughuli mbalimbali  lakini pia kuyatunza mashamba yote ambayo yametengwa na serikali kwaajili ya kilimo  pamoja na kusimamia na kuheshimu mipango ya matumizi bora ya ardhi ambayo imewekwa.

Mafunzo kwa wenyeviti wa vijiji, vitongoji na Wajumbe wa serikali za Vijiji kwa tarafa ya Kipembawe yamefanyika leo tarehe 8 Desemba 2024 na yatahitimishwa kesho tarehe 9 Desemba 2024 kwa Tarafa ya Kiwanja ambapo mada mbalimbali zimefundishwa ikiwa ni pamoja na elimu ya Rushwa, Ulinzi na Usalama ,Majukumu ya wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji, aina za ardhi , ukusanyaji wa mapato ,Utunzaji wa Mazingira , elimu kuhusu Mfumo  wa manunizi na mada nyingine .

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe.Mbaraka Alhaj Batenga akioongea na  Viongozi wa Vijiji, Vitongoji na Wajumbe wa serikali za Vijiji  juu ya kuwatumikia wananchi waliowachagua  wakati wa mafunzo yaliyotolewa kwa viongozi hao katika Tarafa ya Kipembawe .

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akitoa salam za Chama kwa Viongozi wa serikali za Vijiji, Vitongoji na Wajumbe wa serikali za Vijiji wakati wa Mafunzo kwa Viongozi hao Tarafa ya Kipembawe.

Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chunya Nestory Mwita akifundisha mada ua Ulinzi na Usalama  kwa Viongozi wa serikali za Vijiji,Vitongoji na Wajumbe wa serikali za Vijiji 

Mkuu wa kitengo cha Maliasili Dkt Theodory Lukasi akifundisha mada ya  utunzaji wa Mazingira kwa wajumbe wa Serikali za Vijiji,Vitongoji na Wajumbe wa serikali za vijiji katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Lupa

wENYEVITI WA VIJIJI,Vitongoji na wajumbe wa serikali za vijiji wakifuatilia mada mbalimbali kutoka kwa wakufunzi wa mafunzo hayo katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Lupa


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.