• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MHE MASACHE “KAZI YANGU NI KUWASEMEA WANACHUNYA”

Imewekwa: July 29th, 2023

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njelu Kasaka amesema kazi yake iliyompeleka Bunge ni kuwasemea wananchi wa jimbo la Lupa hivyo amewataka wananchi kuendelea kumtuma kuwasemea kwani kazi hiyo bado ana imuda sawasawa huku akiwataka wananchi kurejelea yale mambo waliyomtuma awali mengine yameanza kutekelezwa na mengine mengi yamekamilika kwa asilimia kubwa sana


Mhe Masache ametoa kauli hiyo ijumaa tarehe 28/7/2023 alipokuwa anazungmzra na wananchi wa Kata ya Itwe ambapo alifanya Mkutano katika viwanja vya soko la Chunya Mjini na Baadaye amefanya Mkutano mwingine katika kijiji cha Sinjilili A huku azma yake ni kurudisha mrejesho kwa wananchi juu ya mambo mbalimbali yanayotekelezwa na serikali katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya Chunya ambayo awali ilikuwa ni kero kubwa wananchi wengi


“Nimekuja kuwapeni mrejesho wa kwanza Bunge la Bajeti lililokamilika hivi karibuni ili mjue nini kimepangwa na utekelezaji wake utakuwaje, lakini pia kuwambiaeni namna ambavyoserikali inatekeleza mradi mbalimbali katika maeneo yetu baada ya mimi mliyenituma kusema mnachokihitaji na mwisho kuomba mnitume tena bungeni kuendelea kuwasemea kwa mambo mengine yanayowakabiri na mnataka serikali itusaidie kuyatekeleza”


Mhe Masache ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna ambavyo inatoa fedha nyingi ili kutekeleza miradi mbalimbali wilayani Chunya huku akisema wananchi wao ni mashahidi kwani miradi mbalimbali imetekelez2wa katika amaeneo yao huku akirejea ujenzi wa Taa za Barabarani, Chunya, mjini, Matundasu na Makongosi, Miradi ya maji inayotekelezwa ambayo italeta suluhu ya Changamoto ya maji wilayani Chunya, Ujenzi wa Madarasa kwa pesa za Boost pamoja na ujenzi wa Shule Mpya, upanuzi wa Hospitali ya wilaya pamoja na miradi mingine mingi


AAidha Mhe Masache amewataka wananchi wa wilaya ya Chunya Kuhifadhi chakula cha Kutosha familia zao huku akiwataka kutokuwa na haraka kuuza ile ziada ya Chakula walichonacho kwani bei ya Chakula hiyo inaweza kuwa kubwa muda si mrefu hivyo watauza kwa bei kubwa hapo baadaye


“Niwaombe baba zangu, mama zangu, wazee wangu pamoja na vijana wenzangu, chonde chonde naomba tutunze chakula cha Kutosha kwani inawezekana huku mbeleni tatizo la Njaa likatukumba na wanaotaka kuuza ziazda ya Chakula walichopata wawe na subiri kidogo huko mbeleni kutakuwa na bei kubwa hivyo wakiuza muda huo inawasaidia hata kupata Mbolea kwaajili ya msimu ujao”


Ziara ya Mhe Bunge inahusisha viongozi Mbalimbali wa Chama na serikali ikiwa na lengo la kutua changamoto za wananchi hapo kwa hapo na kuzichukua changamoto ambazo zinahitaji mchakato wa kuzitatua ili kwenda kufuatilia katika mamlaka zinazohusika. Jumamosi ya Tarehe 29/7/2023 ni zamu ya Kata ya Chokaa ambapo mkutano wa kwanzan ni Kitongoji cha Sambilimwaya na Baddaye Mkutano mwingine utakuwa kijiji cha Kibaoni ambao utafanyika eneo la ofisi ya kijiji

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Kasaka (Mwenye shati jeupe na ameweka mikono yake nyuma) akimsikiliza Mkuu wa Shule ya sekondari Itewe Baada ya kutembelea kukagua mradi wa ujenzi wa Bweni

Mbunge wa jimbo la Lupa akiwasili eneo la Kikao kata ya Itewe ili kuzungumza na viongozi wa Chama na serikali kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Chunya

Mbunge wa Jimbo la Lupa akipokea Cheti cha Pongezi kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Itewe baada ya kumalizika kikao cha ndani kabla ya kwenda kuzungumza na wananchi wa kata ya itewe katika kijiji cha Chunya Mjini

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache akicheza na wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) kutoka kijiji cha Sinjilili A baada ya kuhitimisha zoezi la kuzungumza na wananchi


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.