• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MHE MASACHE “ASANTE KWA BILIONI 2.5 KWENYE AFYA, NA ASANTE KWA ‘AMBULANCE’”

Imewekwa: January 21st, 2024

Mbunge wa jimbo la Lupa Mhe. Masache Njelu Kasaka meishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo imeipatia fedha nyingi wilaya ya chunya katika sekta ya Afya, sambamba na kuleta gari la kubebea wagonjwa “Ambulance”

Ametoa shukrani hizo jana January 20, 2024 katika hafla fupi ya kukabidhi gari la kubebea wagonjwa (Ambulance) llilotolewa na Serikali ya Awamu ya sita kwa uongozi wa Hospitali ya wilaya ya Chunya lengo likiwa kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wilayani humo.

“kipekee nimshukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassani ambavyo ameendelea kutupatia fedha katika sekta ya Afya amezungumza hapa Mganga mkuu wa wilaya ni zaidi ya Bilioni 2.5 zote zimekwenda katika ujenzi wa miundombinu ya Afya katika Hospitali ya wilaya, vituo vya afya pamoja na Zahanati”

Mhe Masache amesema gari hilo litakuwa masaada mkubwa kwa wananchi wa Chunya kwani jiografia ya wilaya ya Chunya ni kubwa mno jambo linalopelekea ugumu kumfikia mwananchi aliyeko mbalimbali wakati huo huo kulikuwa na upungufu wa magari ya kubebea wagonjwa

“Ninyi mtakuwa mashaidi Chunya ni kubwa na imekuwa na changamoto ya magari ya wagonjwa na kutokana na ukubwa huu magari ambayo tulikuwa nayo yalikuwa hayatoshelezi na pia hayakuwa katika ubora mzuri zaidi” alisema Mhe. Masache

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya  Chunya Dkt Darison amesema mahitaji ya gari la kubebea wagonjwa yalikwa ni makubwa mno ukiinganisha na ukubwa wa jiografia ya wilaya ya Chunya, hivyo kupitia uwepo wa Gari hii ya kubebea wagonjwa wananchi watafikiwa kwa wakati pindi wapatapo changamoto ya Afya

“Gari hili litasaidia wagonjwa wetu kupata huduma kwa wakati na kupunguza usumbufu wa kupata hadha ya usafiri kwa muda ambao unakuwa unahitajika, aidha tunaendelea kumshuruku Mhe. Rais namna ambavyo ameendelea kutujali sisi kama Halmashauri ya wilaya ya Chunya kwa kutupatia watumishi” alisema Dr. Darison

Aidha  Dkt. Darison Andrew amemshukuru Rais Mhe Dkt Samia kwa kutoa fedha shilingi bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa majengo nane katika hospitali ya wilaya ya Chunya na fedha bilioni 1.1 kwa ajili ya madawa na vifaa tiba kwa sekta ya Afya wilaya ya Chunya, ambapo awamu iliyopita milioni 400 na kwa awamuhii milioni 700

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njelu Kasaka akiwa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali pamoja na Madaktari wakishangilia baada ya kukata utepe kuashiria kukabidhi rasmi gari la kubebea wagonjwa (Ambulance) kwa Uongozi wa Afya wilaya ya Chunya

Gari ya Kubebea wagonjwa (Ambulance) iliyokabidhiwa na Mhe Mbunge wa Uongozi wa sekta ya Afya wilaya ya Chunya mwishoni mwa Juma

Mhe Mbunge wa Jimbo la Lupa akizungumza na viongozi waliofika kwenye hafla ya kukabidhi gari ya kubebea wagonjwa kabla zoezi la Kukabidhi gari hiyo halijaanza

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.