• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MH. MWANGINDE “MKAFANYE KAZI KWA UADILIFU”

Imewekwa: September 19th, 2023

Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde amewataka waajiriwa wapya kufanya kazi kwa uadilifu wanapokuwa katika vituo vyao vya kazi kwa kufuata kanuni, taratibu na miongozo iliyowekwa na serikali  kwasababu wakifanya hivyo watakuwa wametekeleza azma ya serikali ya kuwatumikia wananchi wote bila kujali cheo, jinsi, nafasi na hata kipato cha mtu


Ameyasema hayo 18/09/2023 wakati wa mafunzo kwa waajiriwa wapya walio katika   kada mbalimbali ambazo ni kada ya elimu, afya, utawala na mawasiliano yaliyotelewa katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya uliopo jengo jipya la utawala ambapo jumla ya ya waajiriwa 190 wamenufaika na mafunzo hayo.


“Mmeajiriwa  sasa kuwa watumishi wa serikali mkafuate taratibu kanuni na miongozo ya serikali na mkawe wavumilivu  na kukabiliana na changamoto mbalimbali ambazo mtakutana nazo kwa kushirikiana na viongozi kwani serikali inawategemea sana mkafanye kazi kwa uadilifu mkubwa.” Alisema Mhe. Mwanginde


Mhe. Mwanginde  pia amewatahadharisha   waajiriwa wapya kuwa makini na mikopo  kwani inaweza ikawasababisha wakawa na maisha magumu hivyo wanapaswa kujiandaa kabla ya kufanya maamuzi ya kuchukua mikopo  ili mwisho wa siku isije ikawapa shida  wakati wa kurejesha.


Nae Mkurugenzi Mtendaji ndugu Tamim Kambona amewataka waajiriwa wapya hao kuzingatia suala la nidhamu na kujiheshimu  kama watumishi wanapokuwa kazini lakini pia hata katika jamii inayowazunguka  wahakikishe wanashirikiana vizuri na watumishi wenzao katika vituo vya kazi na hata jamii inayowazunguka


Katika semina hiyo elekezi mada mbalimali zimefundishwa ikiwa ni pamoja na haki na wajibu wa mtumishi katika utumishi wa umma , Miiko ya watumishi wa afya , Huduma zinazotolewa na mfuko wa Taifa wa bima ya Afya  pamoja na jinsi ya  kujisajili katika mfumo wa MUKI.


Mafunzo hayo yanafanyika kwa makundi ambapo kundi la kwanza kupata mafunzo hayo ilikuwa kada ya Elimu ambapo walimu 98 walipatiwa mafunzo na kundi la pili limejumuisha kada ya Afya, Utawala na mawasiliano jumla ya waajiriwa ambapo jumla ya watumishi wapya 92 wamepata mafunzo hayo, Na wawezeshaji katika mafunzo hayo ni Maafisa utumishi na utawala, Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya na Afisa kutoka Mfuko  wa Taifa wa Bima ya afya ( NHIF)

Afisa utumishi na rasilimali watu wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu John Maholani akiwasilisha mada wakati wa Mafunzo elekezi kwa watumishi wa ajira Mpya

Baadhi ya watumishi wa kada mbalimbali (Ajira Mpya) Halmashauri ya wilaya ya Chunya wakifuatilia semina elekezi

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.