• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MH. BATENGA: WAGONJWA 500 WILAYA YA CHUNYA KUTIBIWA UGONJWA WA MTOTO WA JICHO.

Imewekwa: November 19th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhe. Mbaraka Alhaji Batenga amemshukuru rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwaleta  madaktari bigwa wa ugonjwa wa mtoto wa jicho katika hospitali ya Wilaya ya Chunya bila garama yoyote ili kuwawezesha wananchi kupata huduma hiyo

Kauli hiyo ameisema leo 19 Novemba 2024 katika Hospital ya Wilaya ya Chunya  wakati  alipowatembelea na kuzungumza  na wagonjwa mbalimbali waliofika kupata huduma ya  uchunguzi na matibabu ya ugonjwa wa mtoto wa jicho inayodhaminiwa serikali kwa kushirikiana na shirika Hellen Keeler

Mh. Batenga amemshukuru Rais wa  Jamuhuri ya Muunganio wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwaleta madaktari bigwa wa ugonjwa wa mtoto wa jicho katika Wilaya ya Chunya ambapo zaidi ya wagonjwa 500 wanatarajiwa kupatiwa matibabu.

“Namshukuru rais Samia, wataalamu na madaktari wetu na timu nzima kwa kutoa huduma bora za kibigwa za mtoto wa jicho, huduma hii sio mara ya kwanza hapa Chunya tayari ilishatolewa ambapo wagonjwa 466 walipatiwa matibabu na wameshapona na wanaendelea na shughuli zao za Uchumi, uzoefu ulionesha kwamba kuna kuna watu wengine hawakufikiwa na huduma hii hivyo wamerudi tena mara ya pili na watahudumu kwa muda wa siku tano na wanatarajia kuwahudumia wagonjwa 500” amesema Batenga.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chunya Dkt Darison Andrew amewaeleza wagonjwa waliofika Hospitali ya Wilaya ya Chunya kwaajili ya kupatiwa matibabu kuwa, huduma ya uchunguzi na matibabu ya ugonjwa wa mtoto wa jicho inatolewa bure bila malipo yeyote, Vilevile chakula cha asubuhi, mchana na jioni nacho kinatolewa bure kwa wagonjwa pamoja na usafiri wa kuwafuata na kuwarudisha wagonjwa kwenye maeneo yanapotoka

Naye, Bi Olider Mwakipesile mkazi wa  Kata ya Matwiga,  amewashukuru madaktari kwa huduma ya matibabu ya ugonjwa wa mtoto wa jicho kwani amesumbuliwa na ugonjwa  ugonjwa huo kwa muda wa miaka mawili  tangu mwaka 2022 bila kupata matibabu yoyote kwasababu ya kukosa fedha za matibabu.

Omari Ukumbi mwananchi wa Wilaya ya Chunya ameishukuru serikali kwa kuwaletea huduma ya ugonjwa wa mtoto wa jicho bure bila malipo na kuwataka wananchi wengine wenye shida ya macho wajitokeze kupata matibabu hayo wanayotolewa Hospitali ya Wilaya ya Chunya.

Huduma hiyo ya kibingwa ya motto wa jicho itadumu kwa muda wa siku 5 ambapo imeanza kutolewa tarehe Novemba 18/ 2024 na kuhitimishwa tarehe Novemba 22/2024 katika Hospital ya Wilaya ya Chunya.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe.Mbaraka Alhaj Batenga akizungumza na wagonjwa mbalimbali waliofika katika Hospital ya Wilaya ya Chunya kwaajili ya kupata matibabu ya mtoto wa Jicho

Wagonjwa waliofika katika Hospitali ya Wilaya ya Chunya kwaajili ya kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya mtoto wa Jicho wakiendelea kuhudumiwa.

Hatua za awali za matibubu zikiendelea kwa wagonjwa waliofika katika Hospital ya Wilaya ya Chunya kwaajili ya matibabu ya mtoto wa jicho


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.