• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Mayeka afungua mafunzo ya Anwani za Makazi na Postikodi Chunya

Imewekwa: March 24th, 2022

MKUU wa Wilaya ya Chunya Mh. Mayeka Simon Mayeka Machi 24, 2022 amefungua Mafunzo kwa Makarani watakaotekeleza zoezi la Anwani za Makazi na Postikodi katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.

Mafunzo hayo yatawapa uwezo Makarani kufahamau namna nzuri ya kusanya taarifa za Anwani za Makazi na kuziingiza kwenye mfumo.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mh. Mayeka amewataka makarani kusikiliza kwa makini mafundisho watakayopewa na wataalam ili waende kufanya kazi kwa uweledi mkubwa.

“Mtaenda kufanya kazi ya kuchukua taarifa na kuingiza kwenye mfumo, hivyo ni vyema kuhakikisha kile unachokifanya ni sahihi ili tuamini hata kazi nyingine zinazofuatia unaweza kuzifanya.

“Niwaombe sana fanyeni kazi hii vizuri huwezi kujua kuna kazi gani nyingine zinaendelea za kitaifa pengine ukifanya kazi hii itakupa sababu ya kufanya kazi nyingine.” Alisema Mh. Mayeka.

Kadhalika, Mayeka aliwataka makarani kuweka uzalendo na maslahi ya taifa mbele, kwani jukumu walilokabidhiwa ni kubwa na la kitaifa, hivyo makosa watakayoyafanya Chunya, watasababisha yasomeke kwa taifa zima.

“Nyinyi ni vijana kama nilivyotangulia kusema tunawaamini na mtafanya kazi hii ya kuingiza taarifa kwa uzalendo mimi sina wasiwasi kabisa.” Mh Mayeka.

Kwa upande wa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Ndg Curthbert Mwinuka amewasisitiza makarani kuhakikisha wanakwenda kufanya kazi hiyo kwa umakini mkubwa

“Hakikisheni mnazingatia vigezo vyote vinavyotakiwa au mtakavyoelekezwa hapa kwa ajili ya kutekeleza zoezi hili, sitarajii mkafanye namna ambayo hamjaelekezwa na sitarajii kuona maeneo mtakayopangiwa mruke nyumba hata moja.” Aklisema Mwinuka.

Aidha, Mwinuka aliongeza kwa kuwakumbusha umuhimu wa zoezi la Anwani za Makazi na Postikodi na kuwataka makarani hao kufanya kazi kwa weledi bila ya kuleta dosari yoyote wakijua kabisa kuwa wanatumia rasilimali fedha za Serikali.

 

Washiriki wa Mafunzo ya Anwani za Makazi


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.