• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Makanisa ya Pentekoste ya saidia Hospitali ya Wilaya Chunya

Imewekwa: December 13th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mh. Mayeka Simon Mayeka amepokea msaada wa mashuka wenye thamani ya sh. 627,000 kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste {CPCT} Wilaya ya Chunya.

Hafla ya kukabidhi mashukahayo imefanyika leo Desemba 13, 2021 katika Hospitali ya Wilaya ya Chunya na kushirikisha viongozi mbalimbaliwa CPCT Chunya.

Mayeka amewashukuru Viongozi wa CPCT  Wilaya ya Chunya kwa msaada huo ambapo amesema, wamefanya jambo kubwa sana kwani mashuka nimahitaji muhimu kwa wagonjwa kwasababu yamekuwa yakitumika kila siku.

“Mimi nashukurukwa support hii mliyotoa, kwani Serikali na makanisa tumekuwa tukifanya kazi kwa miaka mingi sana. Mna Shule, Vituo vya Afya na Hospitali hivyo hiki mnachokifanya mmekuwa mkifanya miaka yote.” AmesemaMayeka.

Hatahivyo Mkuu wa Wilaya ameuhakikishia Uongozi wa Umoja wa makanisa ya Kipentekoste {CPCT} kuwa mashuka waliyoyatoa yatakwenda kufanya kazi kama walivyo kusudia, pia amewaomba wapeleke salam kwa waumini kuwa walichokifanya ni ibada.

Kwaupande wake   Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste Wilaya ya Chunya, Askofu Hansi Mwakibete amesema, msaada waliotoa ni mashuka 83 yaliyo gharimu kiasi cha sh. 672,000.

Amesema CPCT inaunga mkono juhudi za Viongozi wa Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali na kwamba wanatambua umuhimu wakutoa msaada ili wananchi waendelee kupata huduma bora.

Askofu Mwakibete aliongeza kwa kusema kuwa, utoaji wa misaada kwawasiojiweza na taasisi mbalimbali ni sehemu ya majukumu ya Makanisa ya Kipentekoste, hivyo niwajibu wao kufanya hivyo.

“Tumekuja hapa sio kwa bahati mbaya, nimoja ya majukumu yetu, tulikaa kwenye vikao kama Viongozi na Washirika tulio na wajibu katika jamii tukaona tutoe mchango kidogo.

“Tumelengae neo hili nyeti ambapo washiriki wetu pamoja na ndugu zetu wapo wanapata msaada.” Amesema Askofu Mwakibete wakati wakikabidhi mashuka hayo kwa Mkuu wa Wilaya katika wodi ya wazazi Hospitali ya Wilaya.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.