• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MAFUNDI WANAOSHINDWA KUSIMAMIA VEMA SARUJI KUKATWA FEDHA ILI KUFIDIA UPOTEVU HUO

Imewekwa: January 3rd, 2025

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Chunya kupitia kamati yake ya Fedha, Uongozi na Mipango imeagiza kuwakata fedha mafundi wanaoshindwa kusimamia vema Saruji wakati wanapotekeleza miradi mbalimbali ya Serikali jambo linalopelekea miradi kutokukamilika au kutumia kiwango kikubwa cha Saruji kuliko matarajio ya awali jambo linaloongeza gharama za utekelezaji wa miradi husika

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa Daharia katika Shule ya Sekondari ya Isenyela mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe Bosco Said Mwanginde ameiagiza kamati inayosimia mradi huo kuhakikisha Fundi anayetekeleza mradi huo anakatwa fedha ili kufidia Saruji iliyopotea kwa uzembe jambo ambalo halikubaliki

“Fundi kwanini unaacha Saruji hii inapotea namna hii? Kwanini hauchekechi mchanga wakati unapotaka kuchanganya na saruji tayari kwa kupiga ripu?, Hauoni kama kuna upotevu mkubwa wa Saruji tangu uliopanza kule mpaka hapa? Sasa kamati mnaosimamia mradi mkateni fundi kiasi cha Fedha ili kufidia Saruji hii iliyopotea kwa uzembe maana haiwezekana Saruji inapotea kwa namna hii” Amesema Mhe Mwanginde

Aidha Mhe Mwanginde ameagiza Fundi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa Mabweni katika Shule ya Sekondari Sangambi kuhakikisha anazingatia muda aliopewa kutekeleza mradi huo kwa mujibu wa mkataba wake huku akiwataka wasimamizi wa mradi huo kuhakikisha wanasimamia ubora na viwango vya utekelezaji wa mradi huo  hatua kwa hatua

Wajumbe wa Kamati hiyo kwa nyakato tofauti wamepongeza kwanza Serikali kuendelea kuleta fedha katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya ambapo miradi mbalimbali inaendelea kutekelezwa lakini usimamizi unaofanywa na watalaamu wa Halmashauri wakishirikiana na kamati mbalimbali zinazotokana na wananchi waliopo kwenye maeneo ambako miradi hiyo inatekelezwa

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeanza ziara yake ya kawaida leo ya kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya ambapo Miradi yenye thamani ya Zaidi ya  bilioni mbili imekaguliwa kwa siku ya kwanza, huku ziara hiyo ikipangwa kuendelea kwa siku ya pili tarehe 4/1/2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya akiongoza kamati hiyo kukagua ujenzi wa Mabweni katika Shule ya Sekondari Sangambi mapema leo 

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.