• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MAAFISA LISHE KUSHIRIKIANA NA MAAFISA AFYA KATIKA UKAGUZI WA CHAKULA.

Imewekwa: October 30th, 2024

 Maafisa lishe Wilaya ya Chunya wameagizwa  kushirikiana na Maafisa Afya wakati wanapofanya ukaguzi na  kuangalia usalama wa vyakula   kwa mama ntilie  ili waweze kutoa ushauri wa kitaalamu na mambo yanayopaswa kuzingatiwa katika masuala mazima ya Lishe .

Maagizo hayo ameyatoa  Afisa Mifugo Wilaya ya Chunya Dr Benedicto Matogo kwaniaba ya Mwenyekiti wa kamati ya lishe ambaya ni  Mkrugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya leo Octoba 31/2024 wakati wa kikao cha Kamati ya lishe robo ya kwanza kilichoketi katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri

“Mjitahidi kuambatana  na kushirikiana na Maafisa afya wanapokuwa wanafanya ukaguzi wa chakula na kuangalia usalama wa mazingira ya utayarishaji wa vyakula kwa mama ntilie ili muweze kutumia nafasi hio kutoa elimu  na ushauri wa kitaalamu kuhusu masuala ya lishe na namnna ya kuandaa vyakula kwa kuzingatia makundi ya vyakula” alisema Dr Matogo.

Aidha ametoa rai kwa Wajumbe wa kamati ya Lishe kuhakikisha wanatekeleza yale yote waliyokubaliana katika kikao hicho ikiwa ni pamoja na kutekeleza mapango kazi ambao kila idara imejipangia kutekeleza juu ya lishe lakini pia kuhakikisha bajeti ya mwaka wa fedha unaokuja wanakumbuka kuzitengea bajeti shughuli za lishe ambazo ni za muhimu ili ziwezwe kutekelezeka.

Pia amewaataka Maafisa kilimo waliopo ngazi ya kata kuhakikisha wanashirikiana na wakuu wa Shule katika maeneo yako ili kuhakikisha  maeneo yote yaliyoytengwa na shule kwaajili ya shughuli za kilimo yanalimwa na yanapandwa  mazao lishe  ili kurahisisha upatikanaji wa chakula shuleni.

Naye Afisa lishe Wilaya ya Chunya bi Rehema Hiluka amewaomba idara ya elimu Msingi na Sekondari wanapokuwa wanafanya ufwatiliaji kwenye Shule zao  wafwatilie pia Suala la ulaji wa chakula kwa wanafunzi wanapokua Shuleni lakini pia kukagua stoo ambazo wanahifadhia chakula ili kuwa na uhakika wa upatikanaji wa chakula shuleni ikiwa ni adhima ya serikali kuhakikisha watoto wote wanapata chakula wanapokuwa Shuleni.

Kikao cha kamati ya Lishe robo ya kwanza kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba kimeambatana na uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji kutoka katika idara ya Lishe, Idara ya elimu ya awali na msingi,Idara  elimu Sekondari,Idara ya Kilimo na Mifugo na  Idara ya Maendeleo ya Jamii ambapo katika taarifa hizo suala la uhamasishaji na elimu kwa wananchi juu ya masuala ya lishe limekuwa ni kipaumbele chao.

Afisa lishe Wilaya ya Chunya bi Rehema Hiluka  akielezea  namna ambavyo masuala ya Lishe yanatekelezwa katika ngazi za Kata wakati wa kikao cha kamati ya Lishe robo ya kwanza Julai hadi Septemba kilichoketi katika. Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri

Wajumbe wa kamati ya Lishe wakiendelea kupitia taarifa za idara mbalimbali zinazotekeleza afua za lishe wakati wa kikao cha robo ya kwanza ya mwezi Julai hadi Septemba  kilichoketi katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.

Afisa elimu watu wazima na elimu nje ya Mfumo  halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mwl Lukelo Mng'ong'o akisoma taarifa ya utekelezaji  afua za lishe idara ya elimu Msingi na awali katika kikao cha kamati ya lishe.



Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.