• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Ma-DC Chunya, Mbeya Vijijini wamaliza mgogoro uliokwamisha miradi ya maendeleo

Imewekwa: June 8th, 2022

WAKUU wa Wilaya ya Chunya na Mbeya Vijijini wameumaliza mgogogro wa ujenzi wa miradi ya maji baina ya wakazi wa kijiji cha Ikukwa Wilaya ya Mbeya na kijiji cha Ifumbo kilichopo Wilaya ya Chunya.

Hivi karibuni kulizuka mgogoro kwenye utekelezaji wa miradi ya maji kwenye maeneo hayo hadi kusababisha wananchi wa kijiji cha Ikukwa kuzuia kuendelea kwa mradi huo.

Wilaya za Mbeya na Chunya zinatekeleza ujenzi wa miradi ya maji katika vijiji vya Ikukwa na Ifumbo ambapo chanzo kikuu cha maji kipo katika kijiji cha Ikukwa Wilaya ya Mbeya.

Wakati injinia wa maji Wilaya ya Chunya akitekeleza mradi huo kwa kuanza kupeleka vifaa vya kazi kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi ndio, kukaibuka mzozo na kusababisha kuzuia kuendelea kwa mradi huo.

Wananchi wa kijiji cha Ikukwa wanadai kutoshirikishwa katika mchakato wa makubaliano ya kupeleka maji katika kijiji cha Ifumbo, hivyo kusababisha kutoridhia kuendelea kwa  mchakato huo.

Kwa upande wa Chunya, mradi huo unatekelezwa kwa fedha za ufadhili wa Water Charity chini ya CRS kwa kushirikiana na Serikali ambapo mradi huo unakadiriwa kutumia kiasi cha shilingi milioni 600.

Mradi wa maji kijiji cha Ikukwa unatekelezwa kwa fedha za serikali kupitia mfuko wa maji na mradi huu unakadiriwa kutumia kiasi cha shilingi milioni 474.

Akizungumza wakati wa utatuzi wa mgogoro huo, Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe. Mayeka S Mayeka amesema wao kama wawakilishi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi kubwa ni kusikikiza wananchi wanataka nini na kutatua matatizo yao.

“Sisi wote tupo Mbeya, mimi naweza kuhamishwa na kuletwa Mbeya Vijijini na mwenzangu kupelekwa Chunya, lakini wote tupo kwenye mkoa mmoja, tunawahudumia watanzania wale wale," alisema mayeka.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Rashid Chuachua amewaasa wananchi wa kijiji cha Ikukwa kutokuwa na wasiwasi kwani miradi itatekelezwa kwa pande zote mbili.

“Tumekuja hapa sababu tunataka mradi utekelezwe, kwa hiyo niwasihi na niwaeleze kwamba hapa hakuna udanganyifu kwa pande zote mbili, fedha zipo kwenye akaunti na utekelezaji wa mradi ni miezi sita,” alisema Chuachua.

Tumekuja kwanza kuwathibitishia kwamba mradi utaanza kutekelezwa na tungekuwa hatuna uhakika tusingekuja kwa sababu muda uliopo ni mfupi, tunahitaji fedha zitumike ili mradi uweze kutoa matunda yake," aliongeza Chuachua.

Kwa usanifu uliofanyika maji yanayokwenda kuvunwa kwenye chanzo hicho ni lita 1.5 milioni ambapo kwa kijiji cha Ikukwa, lita zinazohitajika ni lita laki mbili na nusu na kwa upande wa Ifumbo, lita laki mbili yanahitajika kwa shughuli mbalimbali za wakazi wake.

Aidha, Chuachua aliwaasa viongozi wa vijiji kuwashirikisha wananchi kwenye shughuli za kimaendeleo ndani ya vijiji vyao kwani itaondoa migogoro midogomidogo ndani ya jamii.

“Nduu zangu, hapa sisi tunahitaji maendeleo, hakuna mtu asiyetaka maji ya bomba na kilikuwa kilio chenu cha muda mrefu, mimi nadhani kama maoni ya wenzetu waliozungumza kwamba hakuna changamoto, nadhani tusimamie hapo tukatekeleze huu mradi wa maji." Alisema Chuachua

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe. Mayeka S. Mayeka akizungumza na Wakazi wa kijiji cha Ikukwa wakati wa utatuzi wa mgogoro kati ya Ikukwa na Ifumbo

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Vijijini Mhe. Rashid Chuachua akizngumza wa Wananchi wa kata ya Ikukwa wakati wa utatuzi wa mgogoro wa utekelezaji wa miradi ya maji kati ya kijiji cha ikukwa na kijiji cha Ifumbo

Wananchi wa Kata ya Ikukwa wakiwa kwenye Mkutano

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.