• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Kasaka: Zahanati ya Itumba itaimarisha afya za wakazi Chunya

Imewekwa: May 10th, 2022

MBUNGE wa jimbo la Lupa Mhe Masache Kasaka amesema, kukamilika kwa zahanati ya kijiji cha Itumba iliyopo Kata ya Chalangwa Wilayani Chunya kutawafanya wakazi wa Wilaya hiyo kuimarika afya zao kwa kupata huduma za afya kwa uhakika.

Mheshimiwa Kasaka amefanya uzinduzi huo Mei 9, 2022 ambapo alielezea furaha yake ikiwa mwaka jana alifika kwenye jengo la zahanati hiyo na kuahidi kukamilisha ujenzi wake kwa maslahi mapana ya wana Chunya kwa ujumla.

“Mwaka jana nilivyokuja kuwashukuru nilifika hapa na kuitembelea zahanati hii, tukakuta ipo usawa wa linta, na nikawaahidi kwenda kutafuta fedha ili kukamilisha ujenzi, leo ninayo furaha nilichoahidi jengo limekamilika na huduma zinaanza kutolewa.

“Ndugu zangu wanaitumba kukamilika kwa zahanati yetu hii tunaenda kuhakikisha afya zetu zinaendelea kuwa bora zaidi, ili mambo mengine yaendelee vizuri, cha kwanza tuwe na afya njema na imara.” Alisema Mheshimiwa Kasaka.

Aidha, aliongeza kwa kusema ili kuwa na afya njema na imara lazima kuwe na zahanati na vituo vya afya ambavyo vinatoa huduma ili wananchi waweze kuhudumiwa kwa ukaribu zaidi.

Kwa upnde wa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Dkt. Darison Andrew alitumia fursa hiyo kuwapongeza wananchi wa kijiji cha Itumbi kwa kujitoa kwenye shughuli za maendeleo hasa katika ujenzi wa zahanati.

Aliongeza kwa kusema kuwa, siku ya Alhamisi ya Mei 12, 2022 kutakuwa na kampeni ya awamu ya pili ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio hivyo wazazi na walezi wanapaswa kuwapeleka watoto wao kwenda kupata chanjo hiyo.

“Ugonjwa huu hauna tiba ila una kinga, na kinga ina kinga kwa asilimia 100, mtoto akiumwa polio kuna matokeo mawili, na yote ni mabaya aidha apoteze maisha ama apooze na akipooza hawezi kupona, hivyo tunawaomba sana sana mjitokeze kwa wingi, muwalete watoto wenu kupata chanjo ya polio.

Uzinduzi wa zahanati hiyo umeenda sambamba na harambee ya kuchangia ukamilishwaji wa nyumba ya Mganga ambapo jumla ya shilingi milioni 6.5 zilikusanywa.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.