• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA MKOA WA MBEYA YARIDHISHWA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU CHUNYA

Imewekwa: September 1st, 2022

kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Mbeya ikiongozwa na kaimu katibu Tawala wa Mkoa Ndugu. Donald Bombo imefanya ziara ya ukaguzi wa Miradi itakayo tembelewa, zinduliwa na kuwekewa jiwe la msingi na Mwenge wa uhuru September 8, 2022 katika halmashauri ya wilaya ya Chunya

kamati imeridhishwa na miradi iliyochaguliwa na wataalamu na imetaka menejimenti na Uongozi wa halmashauri ya wilaya ya chunya kufanya maboresho madogo madogo ya miundombinu katika miradi itakayotembelewa na Mwenge wa Uhuru ili kusiwepo na dosari katika miradi hiyo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu.Tamim Kambona amesema amepokea maelekezo yote yaliyotolewa na kamati ya Ulinzi na Usalama na kuhaidi kuyafanyia kazi mara moja.

“Yote mliyotuelekeza tutayafanyia kazi na kuhakikisha yanakamilika kwa wakati” alisema Kambona.

Ziara hiyo ya sikumoja imefanyika leo tarehe 01.09.2022 ikiwe zimebaki siku chache Mwenge wa Uhuru kuwasili wilayani humo, ambapo halmashauri ya wilaya ya Chunya Mwenge wa Uhuru Utatembelea, Utazindua na kuweka Jiwe la Msingi katika miradi Sita {6} ya Maendeleo.

Miradi iliyotembelewa na Kamati hiyo ni pamoja na Zahanati ya Itumba, mradi wa maji Sangambi, Madarasa mawili na Ofisi Mojo shule ya Sekondari Isenyela, Kiwanda cha Kuchakata Dhahabu cha Giant, ujenzi wa daraja la Nselewe na kikundi cha vijana cha Sabasaba group kinacho jishguhulisha na ufyatuaji wa tofali.

Aidha lengo la ziara hiyo kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa sambamba na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ni kujiridhisha na maandalizi yaliyofanya na halmashauri ya Chu nya kwa ajili ya Ujio wa Mwenge wa Uhuru.

PICHA MBALIMBALI WAKATI WA UKAGUZI WA MIRADI YA MWENGE WA UHURU




Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.