• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KAMATI YA SIASA YA CCM WILAYA YA CHUNYA YARIDHISHWA NA UJENZI WA BARABARA YA KIWANJA - IFUMBO

Imewekwa: February 22nd, 2023

Mbunge wa jimbo la Lupa wilayani chunya Mhe MASACHE NJERU KASAKA pamoja na Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Chunya wameridhishwa na ujenzi wa Barabarabara ya Kiwanja Ifumbo inayojengwa kwa kiwango cha Changalawe ili iweze kuruhusu barabara hiyo kupitika kwa Urahisi Zaidi

Mhe.Kasaka kwanza amempongeza mhandisi anayejenga barabara hiyo kwani kazi yake ina matumaini makubwa na ameongeza kuwa kero na adha ya usafiri kwa wananchi waishio kata ya Ifumbo sasa itamalizwa pale ujenzi wa barabara hiyo utakapokamilika tofauti na ilivyokuwa hapo awali usafiri wa Ifumbo ulikuwa ni mgumu sana

“Kwanza nikupongeze Mkurugenzi mtendaji kupitia wahandisi wako kwakupata mkandarasi huyu naona anafanya kazi vizuri na kazi yake ina matumaini kabisa ya kuifungua Ifumbo na hatimaye wananchi wataanza kusafiri kwa urahisi kuja wilayani kupata huduma Mbalimbali” amesema Kasaka

Naye katibu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Cherles Seleman Jokery kwa niaba ya wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Chunya waliokuwepo katika ziara hiyo amesema lengo la Chama Cha Mapinduzi kupitia ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2020-2023 ni kuhakikisha wananchi wake wanaepukana na kero ya usafiri

“Niwapongeze serikali kwa kuhakikisha mnatekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2020-2025 hasa kwenye Mradi huu wa ujenzi wa Barabara ya kutoka Kiwanja Mpaka Ifumbo naona mkandarasi anaitendea haki kazi yake

“Sisi kama kamati ya siasa tumerishishwa na maendeleo ya Ujenzi wa barabara kutoka kiwanja mpaka Ifumbo kwani tunashuhudia kwa macho yetu kwamba ujenzi unaendelea vizuri na tunaona Ifumbo sasa inafunguka na hatimaye maisha ya wanaifumbo sasa yatakuwa bora kiuchumi kwani watapeleka bidhaa zao sokoni kwa haraka na kwa urahisi” amesema Jokery

Katika Nyakati tofauti viongozi hao wametoa ushauri kwa ofisi ya Mkurugenzi kupitia mhandisi wa ujenzi wa barabara hiyo kuhakikisha wanaendelea kumsimamia mkandarasi huyo ili akamilishe kazi hiyo kwa ubora zaidi

Barabara hiyo inajengwa kwa fedha kutoka Mfuko wa Jimbo ambapo Zaidi ya shilingi milioni mia nne zimeshatolewa kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo ambapo inatarajiwa kukamilika mapema mwezi mei mwaka huu

Kaimu Afisa Mipango wa wilaya Ndugu Godfrey Mwakibinga (Mwenye miwni) kwaniaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya akitoa maelezo kwa kamati ya Siasa ya chama cha Mapinduzi wilaya ya Chunya wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa barabara ya kiwanja - Ifumbo.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.