• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KAMATI YA SIASA MKOA WA MBEYA YAKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI CHUNYA.

Imewekwa: July 23rd, 2023

Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya imemuagiza Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Chunya kumpandisha Cheo Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mafyeko kutokana na usimamizi mzuri wa ujenzi wa shule mpya inayojengwa katika kata hiyo.

Hayo yametolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mbeya Mhe. Dkt Stephene Mwakajumilo wakati wa ziara ya kamati ya siasa ya Chama cha mapinduzi kukagua utekelezwaji wa miradi ya maendeleo ndani ya wilaya ya chunya ikiwa ni usimamizi wa ilani ya chama cha Mapinduzi.

Dkt. Mwakajumilo aliongeza kusema mradi wa ujenzi wa shule mpya Mafyeko kwa asilimia mia moja hauna shida umesimamiwa na kutekelezwa ipasavyo jambo lililopelekea kamati ya siasa kwa pamoja kukubalinana kwamba Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mafyeko ambaye ndiye msimamizi wa mradi wa ujenzi wa Shule Mpya kupongezwa.

“Injinia msimamizi wa ule mradi amefanya kazi nzuri sana, mkuu wa shule ndio zaidi tumemuagiza Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri mara baada ya ule ujenzi wa mradi kuisha yule mkuu wa Shule asiwe mkuu wa shule tena apate nafasi nyingine” alisema Dkt Mwakajumilo

Mweyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya Mhe. Dkt Stephene Mwakajumilo pamoja na wajumbe wa kamati ya siasa ya mkoa wameonyesha kutorishwa na utekelezaji na usimamizi wa baadhi ya miradi ya maendeleo inayoekelezwa ndani ya halmashauri ya wilaya ya Chunya.

“Tumekagua miradi nane ndani ya wilaya ya chunya, tumebaini changamoto baadhi ya maeneo, tuwashauri mkajifunze kwa uongozi wa kata ya mafyeko jinsi ambavyo mnaweza kusimamia vizuri miradi” aisema Mwakajumilo

Ziara ya kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mbeya imedumu kwa siku tatu kuanzia tarehe 21-23/7/2023 na imekagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na mradi wa upanuzi wa Hospitali ya wilaya, mradi wa Mitambo ya kuchimbia visima, Mradi wa Maji Matwiga, Ujenzi wa Shule ya msingi Mafyeko kupitia mradi wa Boost, ujenzi wa nyumba ya watumishi 3 in 1 katika shule ya msingi Sipa, ujenzi wa uzio wa Mnada Sipa pamoja na ujenzi wa barabara Sipa.

Muonekano wa majengo ya Shule mpya ya Msingi Mafyeko

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.