• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO CHUNYA YAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa: February 13th, 2022

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Chunya imefanya ziara ya siku nne ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri hiyo.

Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri na Diwani wa Kata ya Mbugani Mhe. Bosco Mwanginde, imekagua miradi ya elimu na afya lengo ni kujiridhisha na hatua za ujenzi zilizofikiwa ili iweze kutoa huduma bora kwa jamii.

Amesema sekta ya elimu na afya ni sekta muhimu sana na ina mchango mkubwa kwa maendeleo ya sasa na ya baadaye, hivyo ni vyema kuweka mikakati madhubuti kuhakikisha miradi hiyo inakamilika  na kutekelezwa kwa ubora uliokusudiwa.

Pia aliongeza kwa kusema kukamilika kwa miradi hiyo itasababisha kutoa huduma bora kwa wananchi na kuongeza ufaulu kwa wanafunzi.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja ujenzi wa kituo cha afya Sangambi, kituo cha afya Kambikaoto, ujenzi kituo cha afya Mafyeko, zahanati ya Itumba, Ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari Mtande, pamoja na ujenzi wa soko la madini Mbugani.

Aidha, kamati ilitembelea ujenzi wa shule mpya ya mchepuo wa kiingereza, ujenzi wa jengo la bohari pamoja na wodi ya wanaume na wanawake katika hospitali ya wilaya, ujenzi wa mfumo wa maji katika shule ya msingi Lualaje, ujenzi wa zahanati ya Lyesero , maabara katika shule ya sekondari Mtande pamoja na shule ya sekondari Mtanila.

Naye Makamu Mwenyekiti wa Hamashauri ya Wilaya ya Chunya, Mhe. Ramadhan Shumbi amesema kuwa ziara zinazofanywa na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango zina faida kubwa sana ikiwemo kuchochea kasi ya ukamilishaji wa miradi ya maendeleo.

“Ziara hizi zinazofanywa na Kamati hii ya Fedha, Uongozi na Mipango, zimekuwa na faida nyingi ikiwemo kuchochea kasi ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, kwa sababu kwenye ziara hizo tunaongozana na wataalam wa Halmashauri, hivyo kwenye kila mradi tunapokea taarifa ya utekelezaji.

“Baada ya kupokea taarifa hizo tunaanza kukagua mradi, tukishakagua tunawaambia wataalam mapungufu tuliyoyabaini kisha wataalam wanayafanyia kazi, hali inayopelekea miradi hiyo kukamilika kwa wakati na kwa ubora uliokusudiwa”

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KATIKA ZIARA

Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango wakikagua Ujenzi wa Kituo cha Afya Sangambi


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.