• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

IDARA MTAMBUKA ZAKUMBUSHWA KUPANGA SHUGHULI ZA LISHE ZENYE KULETA MATOKEA .

Imewekwa: November 29th, 2024

Idara Mtambuka  zinazotekeleza shughuli mbalimbali za Lishe zimetakiwa  kutengeneza  mipango kazi itakayokuwa na shughuli za lishe zenye kuleta matokeo makubwa katika kupambana na kutatua changamoto mbalimbali za masuala ya Lishe ikiwa ni pamoja na udumavu, ukondefu na uzito uliozidi ili kuwa na jamii yenye lishe bora na afya bora .

Kauli hiyo imezungumzwa na Afisa lishe wa Mkoa wa Mbeya bi Josephine Swai leo Novemba 29/224 wakati wa  kikao cha maandalizi ya awali ya mipango ya bajeti  za Lishe kilichoketi katika Ukumbi mdogo wa Halmashauri  ya Wilaya ya Chunya.

“Kwenye mipango kazi yetu naomba tujitahidi kupanga shughuli zenye  kuleta matokeo makubwa  zitakazoenda sambamba na kutatua changamoto mbalimbali katika masuala ya lishe  katika jamii ikiwa ni  pamoja na  masuala ya Udumavu, ukondefu  na uzito uliozidi .”amesema Josephine.

Eidha ameongeza kuwa Matarjio ni kuona idara Mtambuka ambazo ni idara ya Maendeleo ya Jamii, Idara ya Kilimo,Idara ya Mipango, Idaya ya Elimu Msingi na Elimu  Sekondari katika utekelezaji wa shuguli zake katika masuala  ya Lishe   unasaidia kupunguza matatizo ya Lishe kwa 80%  na asilimia  20%  kwa Idara ya Afya

 Naye Afisa lishe Wilaya ya Chunya ndugu Saimoni Mayala ametoa rai kwa wajumbe wa kamati ya lishe  kuendelea kushirikiana katika  utekelezaji wa shughuli zinazojumuisha masuala ya lishe katika idara mtambuka ili kuendelea kuifikisha elimu kwa jamii  lakini pia kupunguza gharama za utekelezaji   kwani  elimu zote zitaweza kutolewa kwa pamoja  kulingana na shughuli ya Idara husika katika suala la lishe.

Akichangia juu ya suala la changamoto  zinazokabili idara mtambuka katika utekelezaji wa shughuli za lishe Dkt Benedicto  Matogo amesema kuwa   ukomo wa bajeti ndio sababu kubwa ya idara matambuka kutokuwa na shughuli nyingi za lishe  kwani katika bajeti hiyo hiyo idara inatakiwa kutekeleza majukumu yake yaliyopangwa kutekelezwa kwa mwaka husika.

 Kikao hicho cha Maandalizi ya awali ya mipango ya Bajeti za lishe  kwa Mwaka wa fedha  2025/2026 kimehudhuriwa na Wajumbe wa kamati ya  bajeti ya lishe ya Halmashauri ya   Wilaya Chunya,  Afisa Lishe Mkoa wa Mbeya  na kujadili mambo mbalimbali  ikiwemo   suala la kuendelea kutoa elimu ya lishe kwa jamii kuhusu lishe ile kupunguza na kumaliza kabisa changamoto za ukondefu , udumavu na uzito uliozidi.

Afisa lishe wa Mkoa wa Mbeya bi Josephine Swai akifafanua masuala mbalimbali kuhusu lishe katika kikao cha awali cha mpango wa bejati za lishe kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kilichafanyika katika ukumbi mdogo wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Afisa lishe Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Saimoni Mayala akizikumbusha idara mtambuka kutengea bajeti shughuli za lishe   wakati wa kikao cha maandalizi ya awali ya mpango wa bajeti za lishe

Wajumbe wa kamati ya bajeti ya lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Chunya wakiwa kwenye picha ya pamoja na Afisa lishe wa Mkoa wa Mbeya bi Josephine Swai aliye  keti  mmstari wa mbele katikati baada ya kumaliza kikao cha maandalizi ya awali ya mpango wa bajeti za lishe

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.